Baba Levo adai kushambuliwa na Harmonize

Aikooooh chawa baba levo na ukubwa wake ule na urefu wake amepigwa na harmonize kadogo ogo kamenenepeana? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 , ila baba levo alisha kaa jela atakua anaelewa anacho kifanya
 
Na angepiga mpaka avunjwe kiuno mbuzi mmoja yule,atakuwa Kamletea zile za kichawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…