Kwa upande wangu sijaona kero yoyote sababu Babalevo ni comedian, kuna vitu anaongea ili afanye watu wafurahi tu.Sidhani kama watu wanachukia mafanikio yake. Watu wamekuwa bored na matendo yake, amekuwa too much mpaka kero.
Sasa huyo akifukuzwa kazi si atakufa kabisa, au anafikiri ameshakuwa mama Dangote sasa.
Yes, alikuwa hivyo ila sasa hivi hafanyi comedy. Amegeuka taahira fulani.Kwa upande wangu sijaona kero yoyote sababu Babalevo ni comedian, kuna vitu anaongea ili afanye watu wafurahi tu.
Watu wanaongea Tu ila haya maisha ukikosa Raman af itokee gap kama hyo daah.... Sawa Sawa na wale wanaowazomea akina blaya au maalimNimesikiliza interview yake na Zamaradi toka hapo nimemuelewa huyu jamaa na tusihukumu mtu kabla ya kumsikiliza. ameongea mengi sana na kapita katika mambo magumu sana katika maisha yake, anachofanya yuko sawa 100% anafanya kile chenye maslahi na yeye naumuombea tu Mungu amuongoze ila jamaa ni mkweli na muwazi.
😀😀😀😀Hizo nywele za maiti anatembea nazo hadharani?
Wanawake wa Kigoma ni wavumilivu sana.Aibu yote anaibeba mkewe
2021 Kumekuchakazi ipo
Kama kaoa wakwao hamna shida wanavumiliana mapungufu yaoWanawake wa Kigoma ni wavumilivu sana.
D-one a.k.a D-mokoAliwai kuwa diwani huyu jamaa vile?
Comedy ni kama proffesional nyingine, inabd iwe na mipaka sasa mtu kujitoa ufaham kwa kisingizio cha kuwa comedian ni utahiraaaaKwa upande wangu sijaona kero yoyote sababu Babalevo ni comedian, kuna vitu anaongea ili afanye watu wafurahi tu.