Kivule
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 639
- 662
Kama inampa pesa, mafanikio na kuwasaidia ndugu zake mie sioni tatizo. Ili mradi havunji sheria za nchi na anapata mafanikio kupitia anachofanya mie sioni tatizo.Comedy ni kama proffesional nyingine, inabd iwe na mipaka sasa mtu kujitoa ufaham kwa kisingizio cha kuwa comedian ni utahiraaaa