Baba Levo akiwa usafini

Baba Levo akiwa usafini

Comedy ni kama proffesional nyingine, inabd iwe na mipaka sasa mtu kujitoa ufaham kwa kisingizio cha kuwa comedian ni utahiraaaa
Kama inampa pesa, mafanikio na kuwasaidia ndugu zake mie sioni tatizo. Ili mradi havunji sheria za nchi na anapata mafanikio kupitia anachofanya mie sioni tatizo.
 
Sema jamaa ni comedian kuliko kina Joti na Mpoki, halazimishi yaani anachekesha ile naturally.
 
Kumekuchaaaah sasa
JamiiForums-893826200.jpg
 
Nimesikiliza interview yake na Zamaradi toka hapo nimemuelewa huyu jamaa na tusihukumu mtu kabla ya kumsikiliza. ameongea mengi sana na kapita katika mambo magumu sana katika maisha yake, anachofanya yuko sawa 100% anafanya kile chenye maslahi na yeye naumuombea tu Mungu amuongoze ila jamaa ni mkweli na muwazi.
Kuna watu wamepitia life gumu hatari basi tuu...huyu anataka kupakuliwa tuu
 
Kuna watu wamepitia life gumu hatari basi tuu...huyu anataka kupakuliwa tuu
Lazima u support kinachokupa kula. Mawaziri na viongozi wengi wanajitoa akili kumpigia debe mzee na hawana njaa kihivyo sembuse Baba Levo.
 
Na kuwa watu walishawahi kumchagua kuwa diwani wao [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Lazima u support kinachokupa kula. Mawaziri na viongozi wengi wanajitoa akili kumpigia debe mzee na hawana njaa kihivyo sembuse Baba Levo.
Sawa lakini sio kwe level.hiyo...wapo watu waliosaidiwa sana lakini huko.ni kujitoa ufahamu
 
Changamoto ya binadamu hawapendi mwenzie apate na apige hatua kimaisha. Akiwa hajafanikiwa wanajifanya wanampa moyo ila akifanikiwa hao hao wanamponda. Mimi nafurahi sana mtu akipiga mafanikio tena namuombea azidi fanikiwa zaidi mana atawasaidia ata ndugu, jamaa na marafiki.
Mkuu. Hivi kushangaa mwanaume kutamani kuwa mwanamke ili amzalie boss wake watoto watatu. Huo ndio wivu na roho mbayaaaaa. ?

Binafsi kitendo cha kutamani kuzaa ili kumfurahisha boss wake. Kimeniudhi mnoo
 
Sidhani kama watu wanachukia mafanikio yake. Watu wamekuwa bored na matendo yake, amekuwa too much mpaka kero.

Sasa huyo akifukuzwa kazi si atakufa kabisa, au anafikiri ameshakuwa mama Dangote sasa.
Sasa vipi mnakua bored wakati hayo ni maisha yake aliochagua!
 
Back
Top Bottom