Kama inampa pesa, mafanikio na kuwasaidia ndugu zake mie sioni tatizo. Ili mradi havunji sheria za nchi na anapata mafanikio kupitia anachofanya mie sioni tatizo.Comedy ni kama proffesional nyingine, inabd iwe na mipaka sasa mtu kujitoa ufaham kwa kisingizio cha kuwa comedian ni utahiraaaa
Kibaya zaidi kakutana na Instagram stend wakati yeye anaenda IG ndo inafika
Ndio,Aliwai kuwa diwani huyu jamaa vile?
Kuna watu wamepitia life gumu hatari basi tuu...huyu anataka kupakuliwa tuuNimesikiliza interview yake na Zamaradi toka hapo nimemuelewa huyu jamaa na tusihukumu mtu kabla ya kumsikiliza. ameongea mengi sana na kapita katika mambo magumu sana katika maisha yake, anachofanya yuko sawa 100% anafanya kile chenye maslahi na yeye naumuombea tu Mungu amuongoze ila jamaa ni mkweli na muwazi.
Lazima u support kinachokupa kula. Mawaziri na viongozi wengi wanajitoa akili kumpigia debe mzee na hawana njaa kihivyo sembuse Baba Levo.Kuna watu wamepitia life gumu hatari basi tuu...huyu anataka kupakuliwa tuu
Sawa lakini sio kwe level.hiyo...wapo watu waliosaidiwa sana lakini huko.ni kujitoa ufahamuLazima u support kinachokupa kula. Mawaziri na viongozi wengi wanajitoa akili kumpigia debe mzee na hawana njaa kihivyo sembuse Baba Levo.
Mkuu. Hivi kushangaa mwanaume kutamani kuwa mwanamke ili amzalie boss wake watoto watatu. Huo ndio wivu na roho mbayaaaaa. ?Changamoto ya binadamu hawapendi mwenzie apate na apige hatua kimaisha. Akiwa hajafanikiwa wanajifanya wanampa moyo ila akifanikiwa hao hao wanamponda. Mimi nafurahi sana mtu akipiga mafanikio tena namuombea azidi fanikiwa zaidi mana atawasaidia ata ndugu, jamaa na marafiki.
Sasa vipi mnakua bored wakati hayo ni maisha yake aliochagua!Sidhani kama watu wanachukia mafanikio yake. Watu wamekuwa bored na matendo yake, amekuwa too much mpaka kero.
Sasa huyo akifukuzwa kazi si atakufa kabisa, au anafikiri ameshakuwa mama Dangote sasa.