Baba Levo akiwa usafini

Sawa lakini sio kwe level.hiyo...wapo watu waliosaidiwa sana lakini huko.ni kujitoa ufahamu
Professor, waziri wanajitoa ufahamu tena wana act kabisa wakati wanajuwa ukweli sembuse huyu mtu anasema hakupata bahati ya kusoma. Boss is always right. Kuna tofauti aliyekusaidia na mtu anaye endelea kukusaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…