Baba Levo ashangaa Mwana FA kutopenda mafanikio ya Diamond

Sometimes naona waliokufa miaka 10 iliyopita wameokolewa kuona utumbo mwingi WA nchi hii
Vijana wa ovyo watakwambia na wewe ufe, ila ni mambo ya aibu hadi kutamani kuzaa na mwanaume mwenzio kisa boss na uchawa kiwango kikubwa cha kujidhalilisha na kutweza uanaume aisee
 
Sijajua kwani hawa wapuuzi wawili Baba Levo na Mwijaku wanapewa airtime. Naona wamekuwa watu wa kuwafitinisha watu kwa ajili ya matumbo yao.

Halafu nchi hii siku hizi wapuuzi wapuuzi ndio wanapewa nafasi na airtime.Sioni ubaya kwani hao mawaziri wa nyuma walikuwa wanafanya hivyo. Halafu mbona ni vitu vidogo hivi.
 
Hichi kitendo ni cha kichonganishi, Kama Taifa inabidi tuangalie sana watu wa hovyo wanaopewa platform, mtu anaropoka tuu,
 
Baba Levo anajaribu tafuta namna yoyote Mwana FA amwagwe chini kwa fitna, wakijua kuna Mlozi Babu T ataukwaa unaibu. Shida hana elimu.

Na hapa macho yote yapo kwa Diamond ila Mlozi Babu T ndio changamoto kubwa.
 
Mwana FA hawezi kuwajibika au kuwajibishwa kwa kuto kumpost au kusema kitu chocho kuhusu ushindi wa Diamond! Hiyo kazi wanapaswa kuifanya kwa ufasaha Basata lakini hata akifanya ni kwa matakwa yake si kazi zake mahususi na wala hawezi kuhukumiwa!

Basata inatakiwa kumuita na kumchukulia hatua Baba Levo kwa utovu wa nidhamu na uchonganishi kwa kiongozi wa serikali na Msanii!
 
Tatizo ye mond, yule alivyopata ubunge, mpaka unaibu ye alimpongeza au kumpost, maana tusiegemee pande mmoja.
Hili namtetea Baada ya MwanaFA kuteuliwa Diamond alimpost na kumpongeza kwenye Insta story yake ila Baba levo ilipaswa apige kimya kwasababu hakukua na sababu zozote zile za msingi za kuandika ule ujinga kwa maana fa ukizingatia kwamba tunajua huwa hawa Jamaa hazipandi.
 
Waziri wa memo
 
Endelea kuosha makalio wazee wa kizungu. Hopeless slave

Mwanangu ungekua unaosha makalio kama mimi ungekua unalipwa overtime as well 😅 . Hakikisha Mondi anakulipa overtime. Ni hilo tu
 
B... Mdakuzi unakumbuka jana nilikwambia nini?
Ona watu wanakufananisha huku wakati wewe ndio ulianza kuitumia signature yako.
B... wananivunjia heshima sana hawa watu, sijui kwanini watu wa JF wa siku hizi wengi wao ni kama vichwa vyepesi sana.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…