Baba Levo: Kama CCM haitowapa kazi wasanii kwenye kampeni 2025, basi kuna dalili kubwa wasanii wakawehuka

Baba Levo: Kama CCM haitowapa kazi wasanii kwenye kampeni 2025, basi kuna dalili kubwa wasanii wakawehuka

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Baba Levo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameeleza kuwa;

Nimeiangalia GAME Kwa Upana Wake NA Kuangalia Kipato Cha Msanii Mmoja Mmoja Nimegundua Vitu Vitatu ..!

1 MZIKI HAUNA NGUVU YA KUKAA TREND WIKI TATU..!
Tafsiri Yake Ni Kwamba Msanii Anatumia NGUVU Kubwa Kupata HIT SONG Lakini Haidumu Hewani ..

Na Inamlazimu Kurudi Chini Kutafuta HIT Nyingine #GHARAMA
Wimbo Mmoja Wa Msanii Ili Uwe HIT Japo Kwa Tanzania Tu …!

Itamghalimu Msanii Sio Chini Ya USD 20,000/- Sawa Na Milioni 50 Za Kitanzania (Tsh 50,000,000/-)

Na Baada Ya Gharama Hizo Mziki Utakaa WikiTatu Na Kuchuja So Itamlazimu Kutoa M50 Zingine Kutafuta HIT Nyingine.
GHARAMA IMEKUWA MARADUFU

2 WASANII WAMEINGIA MADENI KWENYE MAKAMPUNI MAKUBWA USAMBAZAJI WA MUZIKI..!

Hii Ndio Mbaya Zaidi Maana Wasanii Wakuwa Kama Punda Sasa Hivi Kila Hela Wanayopata Inakatwa VIBAYA MNO Kwa Wasambazaji Wa Muziki .

Utakuta Msanii Analipwa milioni 15 Msambazaji Anachukua Milioni 9
Nabado Msanii Anatakiwa Avae Apendeze Akae kwenye Nyumba Nzuri Atembelee Gari Zuri Ndio Maana Wamechanganyikiwa Kwakweli…!!
Ukikutana Na Kila Msanii Target Yake Ni 2025 PESA ZA KAMPENI Kitu Ambacho Mi Naona Kitawasaidia Kwakweli Muda Mfupi Sana ..!!

3 WASANII HAWANA UPENDO WA KWELI WANANAFIKIANA TU NA KUSEMANA CHINI CHINI NA HII INASABABISHWA NA NJAA PLUS UMASIKINI NJAA IMETENGENEZA ROHO MBAYA DHIDI YA MSANII NA MSANII 😭😭😭😭
Screenshot 2024-12-31 142057.png

LAZIMA TUTAFUTE NJIA MBADALA YA KUIOKOA SANAA YETU..!
 
Ogopa sana jina likikutangulia kuwa kubwa kuliko mfuko wako. Utazuga na ku fake maisha Ili kulilinda jina( wao wanaita brand).
-usafiri
  • malazi
  • mavazi
  • Chakula n.k

Hiyo ni mizigo mikubwa sana kwa wasanii wa kibongo.
 
Kipind yaMoto ilivovunjika,

Dogo alijaribu kukimbizana na trend,

Nyimbo mpya Kila wiki, afu show anazopata haziendani na anachowekeza

Dogo alipata depression Kali Sana,akatumbukia kwny ulevi uliopindukia

Nowdays naona kajirudi,
Nahisi atakua aliipata mshauri mzuri.
 
INASABABISHWA
Tatizo hawa wanamuziki wa sasa ,wanatunga na kuimba nyimbo ambazo hazina wazo lolote endelevu ndio maana nyimbo zao zinaboa kuzisikiliza baada ya muda mfupi sana.
Kipind yaMoto ilivovunjika,

Dogo alijaribu kukimbizana na trend,

Nyimbo mpya Kila wiki, afu show anazopata haziendani na anachowekeza

Dogo alipata depression Kali Sana,akatumbukia kwny ulevi uliopindukia

Nowdays naona kajirudi,
Nahisi atakua aliipata mshauri mzuri.
 
Ndio maana wako bega kwa bega na wanasiasa ili waweze kuendesha maisha.

Tunawaambia CCM hatuhitaji wasanii wa Bongo fleva tuwachague kwenye uchaguzi 2025, tunahitaji miundombinu bora, huduma Bora za Afya , ajira Kwa raia, Elimu bora, kuondoa tatizo la ajira nk.

Yakifanyika hayo sisi tutapiga kura.
 
Kipind yaMoto ilivovunjika,

Dogo alijaribu kukimbizana na trend,

Nyimbo mpya Kila wiki, afu show anazopata haziendani na anachowekeza

Dogo alipata depression Kali Sana,akatumbukia kwny ulevi uliopindukia

Nowdays naona kajirudi,
Nahisi atakua aliipata mshauri mzuri.
Madogo walikuwa 4 pale Ya moto Band, dogo yupi huyo?
 
Back
Top Bottom