okNi habari Mkuu wangu.
Hili ni jukwaa maalumu kwaajili ya Habari za Wasanii na watu maarufu.
Gonja nitag vijana wake baadhi wa Ghayo's gang watuambie mkuu wao yupo wapi maana Uzi wake wa mwisho alikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa kabisa kwa stress Kali ..๐Nikajua Id yake bwana Maghayo
Ule wa liwalo na liweGonja nitag vijana wake baadhi wa Ghayo's gang watuambie mkuu wao yupo wapi maana Uzi wake wa mwisho alikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa kabisa kwa stress Kali ..
Cc : The Stress Challengerr The Mongolian Savage
Yah ,kapotea mazima yeye na grupu lake mpaka avatar katoa.Ule wa liwalo na liwe
Vitombi wanagombania nini? Au CHAWA katumwa kukuza maneno watoe wimbo?Baada ya Msanii Zuchu kuandika ujumbe wa kutengana kimapenzi na msanii Diamond platnumz, anaejiita mtoto wao Baba Levo amesema atahakikisha ugomvi wao unaisha.
Ameandika Baba Levo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii,
"Nitahakikisha Ugomvi wa Baba na Mama yangu unaisha sitaki kubaki yatima mim".
View attachment 2913748
Unahisi Mtoto wao (Baba Levo) atafanikiwa kulirudisha penzi la wazazi wake?
Written by Mjanja M1 โ๏ธ