tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
We si mnyakyusa kaoe wanyakyusa wenzio kama unataka waneneMimi ni miongoni mwa haters
naona sio kivile yan, mipini yote ya mwanza ile alafu unaoa kimbaumbau kama hcho aisee
Any way ngoja tu nile kobisi nisije nikachafua hali ya hewa nikagongwa ban ya maisha na huku ndo mambo yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji48][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji36]
Aliyekuambia pensi ni vazi la wanaume nani ukianza kufuatilia historia na picha mbona kipind cha nyuma walikuwa wana vaa wote kanzu sasa pale nani alikuwa mmiliki halali wa hilo vazi babu geukaKuna msitari kwenye biblia unasema "mwanamke asivae mavazi ya kiume"
Bikra ya wapi?
Aliyekuambia pensi ni vazi la wanaume nani ukianza kufuatilia historia na picha mbona kipind cha nyuma walikuwa wana vaa wote kanzu sasa pale nani alikuwa mmiliki halali wa hilo vazi babu geuka
Kisu cha ngariba,
Mbona mwapenda kuingia hadi chumbani jamani?? Unataka huyu Mtumwa wa Bwana aeleze hayo ili umsaidieje? Kwamba ka alimkuta bikra ukamsaidie kuitoa?? Tatizo sio ubikra, tungojee tumwekee na CIA wamchunguze, Je, atarejea njia zake za kale au ataacha?
Watu wametoboa box wenyewe lakini bado wababanjuliwa mpaka marinda kufumuliwa!! Bikra ni nini mbele ya kukosa heshima kwa mume??
Na ndio maana yametofautishwaBishana na Bible ,usibishane na mimi. Vazi la kiume na kike linajulikana. Mfano mavazi ya kiislamu.
Na ndio maana yametofautishwa
Wakulima daily wanalima nà bado maskini. Bongo hii waliofanikiwa bola kutumia biashara illegal ni very few na wanaolipa kodiMmmh hicho kilimo gani mama? Siyo kwa utajiri ule alionao!
Makofi kwa models tafadhali [emoji122][emoji122][emoji122]
Nifah mambo vepe?You guys
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] mkuu umeua aise,kwahyo pozi la kupanua miguu ni la mabikra??Ndio, huoni pozi zake zote katanua miguu
Pamoja na kwamba umekosea andiko halijasema mavazi ya kiume. Ila imeandikwa ""yampasayo mwanaume". Vazi gani ni la kiume kati ya hayo aliyovaa huyo binti? Hiyo ya juu ni ya kiume? Hiyo pence ni ya kiume? Kama ndivyo, jaribu kwenda ukanunue pensi kama hiyo wewe uivae kama ni mwanaume halafu ujione namna uume wako utakamailika.
Nenda kachukue jeans trouser ya kike, ama skin jeans za akina mama uvae utembee nayo uone vile unakuwa mwanamme halisi.
Nenda kachukue trouser suit ya kimama, uvae uendenayo kunakotakiwa kuvaa suti ujione namna gani uanaume wako ulivyo.
Acheni kuhalalisha mila zenu mzigeuze ziwe maagizo ya Mungu.
Watu wengi wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Sipendi kuongelea mavazi hasa ya hawa mama zetu ambao wanaonewa kwakila namna.
Maoni yanakaribishwa
Yesu wangu jamnMasanja is an institution. Angalia hao vifamba waliojipanga hapo, hamna black hata moja ukiambiwa masanja ana bmw sio kwammba ni ule mpunga anaolima kule kyela peke yake au vitunguu maji anavyolima pale ruvu, there are pple behind him
Kamooooooniiiii,Hilo nalo neno