Nakazi hapa yani wanatuchanganya sana akifa mtu wanaedai alikuwa katili basi utasikia Mungu kajibu maombiNaam Mungu si mwanadamu anaweza kumchukua mja wake yeyote na wakati wowote autakao yeye.
Hivyo tabia ya kusema mtu fulani kafa kwasababu anadhambi sanaa eti Mungu kamuondoa kwasababu ya madhambi ikome kabisa.
Je ni natural death au sio natural death??Ahusike au asihusike mimi sijui.
Baba mdogo tayari sasa ni mwendazake. Hayo maswali mengine jijibu mwenyewe.Je ni natural death au sio natural death??
Natural death [emoji38][emoji38][emoji38]Baba mdogo tayari sasa ni mwendazake. Hayo maswali mengine jijibu mwenyewe.
Baba mdogo ameshakuwa mwendazake, iwe au isiwe.Natural death [emoji38][emoji38][emoji38]
Na mwendazake amekuwa nani??Baba mdogo ameshakuwa mwendazake, iwe au isiwe.
Baba mdogo.Na mwendazake amekuwa nani??
Ni natural death au sio natural deathBaba mdogo.
Jijibu mwenyewe.Ni natural death au Mbowe Kahusika??
Natural death au sio natural deathJijibu mwenyewe.
Jijibu mwenyewe.Natural death au sio natural death
Natural death au sio natural deathJijibu mwenyewe.
Jijibu mwenyewe.Natural death au sio natural death
Kwanini unasema hivyo kwamba itakuwa uviko tu?Kama alikuwa kwenye mitungi hiyo ni UVIKO tu,hizo zingine siasa za kutafutia Huruma.
If it quarks and walks like a duck, it's a duck!
Kifo ni kimoja tu.Tatizo kubwa hatusomi na upeo wa kuona duni. Hakipo cha kuogofya wala cha ajabu. Sababu 4 za vifo vya mtu:
View attachment 1864455
#4 ina mhusu sana shujaa wako.
Haya kutokea kwenye uzi pendwa.
Nadharia iliyoshiba kuhusu vifo na wendazao
Mabibi na mabwana zimekuwapo nadharia nyingi na zingine nyepesi nyepesi kuhusiana na vifo na wendazao. Mtumishi huyu wa Mungu katika udadavuzi wake kwa hakika ana hoja za msingi: Kwamba pana vifo vya aina 4: 1. Uzee (wa miaka ma Mia wako hapa) 2. Vya kusababishwa na kusababishiwa (wa kwenye...www.jamiiforums.com
Habari ndiyo hiyo.
Rest in Peace Manase. Mkuu acha kusaga kunguni basi kwenye huu msiba.Ah ni ukuu wa mungu ulio muondoa mwendazake ndio ulio muondoa na huyu pia sivyo?
Pole kwa familia
Kumbuka walikuwa kwenye msiba mwingine tuloambiwa chanzo ni corona,hii ya mstuko ni kutaka kuvuna huruma tuWenye familia yao wamesema chanzo cha mauti ni mshtuko wa moyo baada ya kushtushwa na habari za Freeman