Baba Mkwe kapanga kunipa zawadi ya nyumba, viwanja na pesa za mtaji kama zawadi nikimuoa binti yake. Tatizo nimepoteza hisia na binti yake

Kwahyo anatakiwa akapige mseaki kwanza njo aje aku rom sio ss kwann usiwe unamwambia

Maana kama ni hvyo hurnda aliekua nae before ww alimfanyia yote hayo ndo maana akahisi na ww utakua mfuasi
Sio mswaki tu, yaani ukishafanya Hilo tendo nakuona unafaa kwa kiburudisho ila sio mke
 
Unaona anafaa kuwa mke au kiburudisho, hahaha eti wapi? Nje ya nyumba hahaha
 
Kwa dunia ya sasakl kunyonywa dushe ni vibaya kwanini umfikirie kuwa ni malaya kama angekuwa anajua kuwa unachepuka unaisi angejisikiaje kama hujawai mkuta wala kumuhisi na mwingine acha kumuwazia mwezio vibaya kama hatoi nyuma acha kumuwazia mwezio vibaya Kwa dunia ya Leo unaweza kumuacha uyo manzi ambaye huna hisia naye na anakupenda ukaja kutana na mtakatifu wa Sura ila nyuma mshenzi wa matendo Kwa wengine kwako ukawa unapewa kifo cha mende tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu haha lakini punguza hasira unaweza ukajua namaanisha nini
Wewe ndiye upunguze uoga, unashindwaje kumwambia mkeo mtarajiwa kwamba hutaki kunyonya uchi wake au hutaki anyonye dushe lako mpaka uje kuanzisha uzi huku jf?

Hakuna mtu aliye kamili, ndio maana kuna mazungumzo na ku compromise baadhi ya vitu ili muweze kuishi pamoja, Sasa kama unaogopa kumwambia unachotaka au ambacho hutaki utaweza kuwa kichwa cha familia kweli?
 
Tabia zake kwenye mgegedo na muonekano wake ni tofauti...unajua watu tunatofautiana katika mahitaji hasa haya ya kingono..binafsi huwezi kuninyonya Dushe halafu nikuromance..
Kama hutaki si unamwambia mbona kama una elimu ya la Saba B wanawake au wanaume wengi wanajua kumnyonya mwezio uchi ndyo anafurahia ila kama hupendi unamwambia Acha tena Kwa mwanamke unayempenda unamwambia madhara ya kunyonya dushe ambayo ni saratani ya koo lakini wewe mbulula unashindwa kuzungumza na mwenza wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ningekuona una busara kama ungekuwa na wazo la kusitisha hayo maandalizi, itakuwekea heshima kiasi flani kuliko kusubiri dakika ya mwisho!
Pata picha Dada ako angekuwa anafanyiwa hivyo ungejisikiaje aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza amfwate huyo dada amwambie kwamba hapendi hiyo tabia na kama akiona mdada habadiliki ndio asitishe taratibu. Kuleta uzi hapa jf sio solution.
 
Una miaka mingapi mkuu kumbe sababu ni iyoo wanaume Bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri kama Rafiki tu kwamba usimwache huyo binti
Binafsi sipendi hiyo michezo ya kunyonywa dushee na wanawake wengi waliowahi kunipa hiyo huduma niliishia kiwaona kama malaya tu (yeye anadhani ndo ananichanganya kumbe kwangu ni kinyume chake)
Chakufanya ni kumweleza yale usiyoyapenda kwenye sex ili aache hizo tabia
Huwezi amini mkuu huenda ni wewe tu ndo umepewa hiyo huduma na umemhukumu wa ukarimu wake kwako
Huenda pia hamkuwahi kuyajadili haya kwenye mapenzi mfano maswali ya kizushi kwa wapendanao kwamba no wapi ukiguswa password ipo?[emoji2][emoji2]
Msamehe bro utamuumiza sana msamehe sana sana msamehe zungumza nae tu atabadilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usijali lakini nafsi inakataa kukubali hayo mambo kabisa kwa mtu ambae atakuwa mke wangu
 
Mkuu usijali lakini nafsi inakataa kukubali hayo mambo kabisa kwa mtu ambae atakuwa mke wangu
Lakin mnaweza kuyazungumza mkuu wengi wanafanya ivyo labda kama uoe bikra lakin hawa uliowakuta tobo liko wazi aisee ongea naye kabla ya kukutana kimwili kipi hutaki kipi unataka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana Kama anapenda nikimwambia aache atatafuta kwingine pa kunyonya....nishapoteza hisia na yeye.

Kwani la saba B ndio hawajui mapenzi mkuu?
 
15 mkuu, kwani ukiwa na miaka mingi ndio unafahamu hii michezo ya kufokonyoana
Sioni kama sababu ni kunyonywa dushe ila hutaki kuowa saivi na unaona kama mwanamke analiforce ilo Kwa wazazi wake na wako zungumza na mwezio kabla Mambo hayajaenda mbele zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]huenda kinachomuuma ni hichi na sio anavyotutajia hapa
Mbna unakazania hili mkuu au ndio michezo yako...usiongezee maneno kwenye andiko langu hayo ni yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…