Baba mtoto kanitelekeza

Duuuh! ulishindwa kufanya jitihada za kumbadilisha huyo baba mtoto?
Pole sana kwa kuingia kwenye usingomadha,ulikua na nafasi yakuepuka USIMBE,vijana watakusifia sana na kumponda jamaa,ili uwaone wao wa maana,uwachanulie miguu,hadi watakapowapata wenza wao wa kuwaoa.Pole sana.
 
Pole mkuu lakini kwann ulijitesa kukaa miaka mingi kwenye mahusiano yasioleweka aisee
 
Pole sana miaka 8 si kitoto ni mingi sana. Sema dada zetu hawa nao kuna muda akili zao hazina akili, anaweza tokea mtu wa maana anataka kujenga nae future na amuoe, dada mwenyewe sasa kakomaa na limtu lisilo na dira kabisa, mipombe, kubeti, visuruali vya kubana. Hovyo sana wadada
 
Mkuu uwezi kumbadilisha mtu tabia ni ngozi aisee moja kati ya kitu kinachofanya ndoa za siku hizi zisidumu ni kuingia kwenye ndoa ukiamini mwenza wako atabadilika tabia zake mbaya inakua tofauti na matarajio mnaishia kuachana tu.
 
Hii dunia ina watu wa ajabu sana. Mmoja wapo ni wewe mleta mada.
 
Pole sana wakati mwingine usilazimishe mtu akupende ukiona hauelewi piga chini endelea na maisha yako, furaha yako ipo kwenye hatma yako mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…