Hammer11
JF-Expert Member
- Feb 18, 2024
- 1,518
- 2,174
Mimi nikijana nimepanga geto sasa hapa hii nyumba ina vyumba vitatu tuu kimoja na kama mm bachela kingine anakaa mwenye nyumba na mke wake kilichobaki anakaaa jamaaa pia mpangaji kaoa sasa
Ishu iko hivii huyu mama mwenye nyumba katembelewa na rafiki yake wa kike sasa akaniomba mimi nilale na mume wake ambae nibaba mwenye nyumba sasa mimi nashindwa hata kuingiza pisi na akija humu ndani kwangu mashalit kibaoo mara hataki dawa ya mbu yaaan mimi nimegairisha pisi zangu mbili ni wiki sasa nalala nae jee nifanyajeeee?
Ishu iko hivii huyu mama mwenye nyumba katembelewa na rafiki yake wa kike sasa akaniomba mimi nilale na mume wake ambae nibaba mwenye nyumba sasa mimi nashindwa hata kuingiza pisi na akija humu ndani kwangu mashalit kibaoo mara hataki dawa ya mbu yaaan mimi nimegairisha pisi zangu mbili ni wiki sasa nalala nae jee nifanyajeeee?