Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini unauliza swali la kijinga?Yaaan Acha sasa nifanyajee ?
Bro dawa ya kigugumizi uli pata??Dogo kwa dunia ya sasa jicho pori utaliponza na kwambia
Mna kosea bro, yeye aombe kulala na huyo mgeni wa kike ili wa balance equation 😃😂Mkuu mtimue arudi kwa mkewe wakalale wote na mgeni wao.....
Yaeh Faza hausi ha ha...Ila haya maisha, huyo naye anajiita baba mwenye nyumba?
nipo kazin mkuu hadi nianze mapumziko. ....Nitakucheck kuuliza vitu flani flani kwenye maelekezo yakoBro dawa ya kigugumizi uli pata??
Sawanipo kazin mkuu hadi nianze mapumziko. ....Nitakucheck kuuliza vitu flani flani kwenye maelekezo yako
Huna akiliMimi nikijana nimepanga geto sasa hapa hii nyumba ina vyumba vitatu tuu kimoja na kama mm bachela kingine anakaa mwenye nyumba na mke wake kilichobaki anakaaa jamaaa pia mpangaji kaoa sasa
Ishu iko hivii huyu mama mwenye nyumba katembelewa na rafiki yake wa kike sasa akaniomba mimi nilale na mume wake ambae nibaba mwenye nyumba sasa mimi nashindwa hata kuingiza pisi na akija humu ndani kwangu mashalit kibaoo mara hataki dawa ya mbu yaaan mimi nimegairisha pisi zangu mbili ni wiki sasa nalala nae jee nifanyajeeee?