Baba mwenye nyumba nimempa hifadhi ya kulala lakini ananipa mashariti kibao

Mkuu mtimue arudi kwa mkewe wakalale wote na mgeni wao.....
 
Washa sumu ya mbu na vyote asivyo vitaka vifanye Ili hame simple like that!
 
Huna akili
 
Mkuu mleta uzi, hivi nikisema wewe ni mjinga utalaumu kuwa nimekutukana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…