Baba mwenye nyumba nimempa hifadhi ya kulala lakini ananipa mashariti kibao

Wanaume huwa hatulali na wanaume wenzetu , hata gect wanakataza hili, vipi kwako unaruhusu tena kwa mtu ana kulipisha kodi?? [emoji23]
 
Hakuna kitu nilikuwa sipendi kama kupanga sehemu halafu mwenye nyumba atake kuleta kujuana baada ya kumpa kodi yake. Kwanza nilikuwa nahakikisha mwenye nyumba hakai hapo na anaishi mbali. Pili nilikuwa nahakikisha kwamba mwenye nyumba ni mtu ambaye biashara ya nyumba si biashara anayoitegemea kwa ajili ya kuishi.
Hilo nilifanikiwa kwa kiasi kikubwa. Sasa unakuta unaishi na wapangaji wenza, niliwahi ishi sehemu kuna mama mtu mzima na binti yake ana nyashi si kidogo. Tulikuwa wapangaji kama watano pale.
Yule mama kwa kuniona mimi kijana akataka kuleta mambo za kuwa yeye na binti yake wananifulia na kunisafishia nyumba, niliwakata mazoea fasta.
Nakuja naingia ndani najifungia wanasikia tv wakigonga sifungui kabisa.
 
Hiyoo safii
 
Mimi siwezi share kitanda na mwanaume mwenzangu...labda misibani huko,na kusiwe na lodge/guest house jirani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…