TANZIA Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia

TANZIA Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia

Covid-19

Lets call spade a spade

Halafu anaitwa Ndunguru,akina Jokate yalivyo malimbukeni hayatumii jina Ndunguru sababu limekaa kienyeji na ni la mkoa wa kusini asilia

Mabishoo haya matoto,ndio maana ni ma failure

U-DC na sijui motivational speaker and other nonsenses ni ma-failure matupu..

Hayana respect with where they come from,with their origins,ubishoo umeyajaa haya matoto

Yameniudhi sana haya matoto,hovyo kabisa!
Duuh! uko na jazba sana!! Kwa kweli MITANO TENA.
Kwa hiyo Mkuu, wewe kazi yako ni kupangia watu majina waitwe vipi?

Jina lako la kwenye ID yako tu linaonesha jinsi gani nawe unashobokea majina ya watu (westernized names). ID yako tu inaonesha nawe huna respect na where you come from.

Usiwapangie watu majina kwa lazma, unalazimisha watu watambulike kwa majina unayoyataka wewe? wewe ni nani? Unatumia vibaya "freedom of speech".

Acha kila mtu ajipe jina analotaka ilimradi tu havunji haki za kibinadamu.
 
Mimi mtu anaejifanya jamii ingine anaacha kuenzi jamii yake personally hua anatibua vuzi za hizi pumbu zangu

I dont hold back,lazima niwachape nao!

Hivi inakuaje mtu unajikausha kabisa una-bypass who you really are and where you really came from kwa sababu za kibishoo namna hii?
Vipi wewe je unaenzi jamii yako?

Maana isijekuwa unajidai traditionalist huku mtandaoni tu.

Anyway sijui asili yako ila kama wewe ni Mtu mweusi (sub-saharan native) na unaishi katika nyumba iliyojengwa kwa saruji. Basi jua umefeli kufuata asili yako (Nyumba za saruji siyo asili ya mtu mweusi)

Kama wewe ni mtu mweusi na unavaa nguo za ki-magharibi pia jua na wewe pia umeikacha asili yako (fatilia historia, nguo za watu weusi zinajulikana)

Kama unatumia jina ambalo siyo la asili yenu kikabila, basi pia nawe jua ni wale wale tu.

Internet yenyewe pia siyo asili yako. Achana nayo.

Hata lugha ya Kiingereza unayoitumia kwenye maandishi pia siyo asili yako. Achana nayo kama kweli huwa unakerwa na watu wasiofuata asili zao.

Elimu yenyewe hii ya NECTA uliyosoma nina hakika siyo elimu ya asili ya jamii yako.

My Take:-

Hii ni Karne ya 21, Utandawazi una mengi, chukua kinachokufaa na kuwa mpole, KAA KWA KUTULIA! Usijidai ni mhafidhina (conservative) wa ki-traditionalism kwa kujificha nyuma ya keyboard ya simu yako tu wakati nina uhakika tukikufatilia kiuhalisia huna u-traditionalism hata kwa 14%.

Usipangie watu maisha kwa lazma, Kila mtu aishi apendavyo na ajipe jina alipendalo as long as anafuata miongozo ya haki za kibinadamu.
 
Daah daaaah. Siku zinakimbia mno. Ndunguru wa Foreign Affairs miaka ya 90+ Bonge la Handsome Baba. Mzee wa Matanuzi Vijana Hostel ndani Benzi la kishua. Handsome man Presentable alijua kupangilia pamba. Mkarimu Sana Kwa Wadada Wazuri wazuri. Kumbe ni babake Jokate!!! Ndio sababu Jokate ni pisi Kali karithi Kwa Baba.
RIP Urban Ndunguru.
 
Acha bangi wewe

Mimi siwezi acha kuthamini ninapotoka wewe

Nina enzi ninapotoka,siwezi onea aibu ninapotoka

Hoja yako ya kipumbavu sana kuhusu nguo...huwezi niambia leo nivae majani mb.00 zibaki nje

Wanadamu wote tulianza uchi bila kua na nguo,kwanini tusikae uchi wote kama tunathamini originality kama unavyosema hapa?

Hoja yako ni ya kipumbavu mno,jamii ina evolve....

Hakuna Mchagga au Mtanzania havai nguo yeyote

Kutetea mpumbavu kutokutumia jina la ukoo wake sababu tu lina sound kishamba ni upumbavu unaleta hapa

Thats nonsense

Huwezi ni convince.....

Eti jamiii inakaa kwenye utandawazi mpaka uache kutumia jina la ukoo wako kisa utaonekana mshamba?Huo ndio utandawazi kikwako?

Bure kabisa.....

Hujani convince wewe!
jina tu umekuwa mbogo hivyo, Je angekuwa kaua Twiga ingekuwaje?
Mkuu jina kitu kidogo tu hicho. Acha watu wajipe majina wanayoyapenda. SHIDA NI NINI? Jazba zote hizo kisa jina tu.
 
Inaonekana unapenda mashindano,nimemaliza darasa la 7 Mtwara (Naliendele,Ligula,Vigaeni,Magomeni,Mikindani,Chuno,Chikongola kote nakufahamu )

Umesoma hizo biography za Mkapa na Membe ?

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app

Mimi ni Mwera nimemkuta babu yangu aliyezaliwa kabla ya vita vya majimaji anatumia jina la ukoo wa baba yake. Na ninaweza kukutajia majina ya generation saba nyyma ya babu na wote walikuwa wanatumia majina ya baba zao. Hata upande wa bibi yangu ni hivyo hivyo.

Hizu habari nimezisoma kwenye vitabu bila ya shaka zitakuwa za zama za mawe za kati ndiyo makabila ya kusini yalikuwa yanatumia surname za mama zao.
 
Brother majina ya JF ni majina nicknames

We are just internet characters here,naweza jiita hata Mavi kama ID,does not mean shit...

Wewe unachukulia ID za JF kama serious human being names,you are crazy!

In real life,jina langu sijajichagulia,nimepewa na wazazi wangu,sio my choice,sikua na mamlaka nalo

Nimejikuta tu naitwa fulani,I had not choice on this,fata wazazi wangu ndio uwaulize na kuwa judge

Jazba kila mwanadamu anazo,hata wewe unazo,cha ajabu unaona zangu pekee yake,cool!

"freedom of speech" haikwambii ukane unapotoka na chanzo cha uzao wako sababu tu unataka uonekane bishoo....

Yule demu ni NDUNGURU,thats it...mengine ni ubishoo na kujitenga na kwao!
Kama kweli wewe ni traditionalist na muhafidhina (conservative) katika kutetea majina ya asili ya natives wa Sub-Saharan Countries, basi kwanza achana na hiyo ID yako.

Maana majina ya wengine umeyashupalia kwa jazba kupita kiasi.

Nguvu uliyoitumia kwa jazba ingetosha kabisa kuzalisha MEGAWATT MBILI za umeme.
 
Daah daaaah. Siku zinakimbia mno. Ndunguru wa Foreign Affairs miaka ya 90+ Bonge la Handsome Baba. Mzee wa Matanuzi Vijana Hostel ndani Benzi la kishua. Handsome man Presentable alijua kupangilia pamba. Mkarimu Sana Kwa Wadada Wazuri wazuri. Kumbe ni babake Jokate!!! Ndio sababu Jokate ni pisi Kali karithi Kwa Baba.
RIP Urban Ndunguru.
Unamfahamu huyu mzee?[emoji849]
 
Brother

No ID hapa ni jina halisi la mtu....

Naweza jiita MAVI kama ID,sio jina langu,ni internet fake name mzee

Hoja yako ya ID ni hovyo maana tuna deal majina ya uongo humu

Mimi ni traditionalist,Jokate kutokutumia jina la NDUNGURU ni kosa kwangu mimi

Unakwepaje kwenu?Ili tu usionekane ni mtu wa kusini ambapo ni kwenu na ndio asili ya uzao wako na mababu zako?

Siwezi samehe mamaeeee zenu
Tatizo ni kwamba umeanza tu kuhukumu hata kabla ya kufatilia kujua ni kwa nini anatumia jina hilo.

Au una ugomvi naye nini? Maana ulivyomshambulia kama nyuki.

Usijisahaulishe kuwa, hata majina ya kwenye cheti cha kuzaliwa nayo pia ni ID vile vile. Lengo la jina ni ili kurahisisha utambuzi (identification).

Na kisheria mtu anaweza kubadilisha jina lake na kutambuliwa (identified) rasmi kwa jina lake jipya.

Sasa shida ni nini? Yaani jina tu umshambulie mtu kupita kiasi, Je angeua Twiga je? Si ndo ungemlipua kwa grenade na C4 kabisaaaaa.


#Logic #Reasoning
 
Mimi ni Mwera nimemkuta babu yangu aliyezaliwa kabla ya vita vya majimaji anatumia jina la ukoo wa baba yake. Na ninaweza kukutajia majina ya generation saba nyyma ya babu na wote walikuwa wanatumia majina ya baba zao. Hata upande wa bibi yangu ni hivyo hivyo.

Hizu habari nimezisoma kwenye vitabu bila ya shaka zitakuwa za zama za mawe za kati ndiyo makabila ya kusini yalikuwa yanatumia surname za mama zao.
Uko sahihi ni zama za mawe.

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom