TANZIA Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia

TANZIA Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia

Baba mzazi wa mkapa alikua akiitwa nani, nikuambie ndugu yangu acha kuzania, mimi nimeishi Nachingwea miaka 16, Siwezi kanusha juu ya mkapa kuitwa ubini wa mama yake maana Sina ushahidi. ila jamii ya kimakua, ambalo ndo kabila la mkapa, nimeishi nao, sikusika watoto wao wakiitwa ubini wa mama.

Nachingwea, wenye mji ule, ni wamwera, ambalo ni kabila la Membe, miaka yote 16 Nach, sikuona wazazi hata waliokua jirani zangu, watoto wao wakiitwa kwa ubini wa mama.

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Mkuu jina unalionaje?? Sema hukusikia ila ukweli ni kwamba MAKABILA YA KUSINI UBIN HUTAMBULIKA UPANDE WA MAMA. SIKU HIZI TU NDIO WATU HUTUMIA MAJINA YA UPANDE WA BABA ZAO. MAKABILA YOTE YA KUSINI UPANDE WA MAMA NDIO WENYE MILIKI YA WATOTO. Kungangamana na watu wa jamii tofauti ndio kumepelekea hali kubadilika siku hizi.
 
Kuna kipindi nilisoma article ya Jokate katika gazeti akielezea maisha yake. Moja ya jambo jokate aligusia ni swala la kulelewa na mama yake zaidi na kuwa hakuwa katika mahusiano sababu aliona experience ya mama yake na baba yake jambo ambalo hakuwa tayari kufunguka.

So from then nikajua tu hii ni kesi ya single mother kumjaza binti sumu. Sasa tangu lini mtoto atumie jina la mama yake na baba yupo?!

Mimi nijuavyo ni kuwa mama hata kama una ugomvi na mwenzako haimaanishi mtoto ataacha kuwa damu moja na baba yake, kumkana baba wa mtoto na kumjaza mtoto sumu kumhusu baba yake huwa haileti matokeo mazuri.

Mama toxic ni mbaya mara mbili ya baba asiyewajibika kwa mtoto wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Covid-19

Lets call spade a spade

Halafu anaitwa Ndunguru,akina Jokate yalivyo malimbukeni hayatumii jina Ndunguru sababu limekaa kienyeji na ni la mkoa wa kusini asilia

Mabishoo haya matoto,ndio maana ni ma failure

U-DC na sijui motivational speaker and other nonsenses ni ma-failure matupu..

Hayana respect with where they come from,with their origins,ubishoo umeyajaa haya matoto

Yameniudhi sana haya matoto,hovyo kabisa!
Na wewe huna tofauti na akina Jokate,badala ya kutumia ID yenye jina la Kiafrika,wewe unatumia la kibeberu.Tena ni afadhali hata ya akina Mwegelo,maana wao wametumia ya Kiafrika
 
Hivi kwanini Jokate hataki kuolewa? Tuanzie hapo nadhani, then tutabadilisha mada baadae.
Jokate ni wale mabinti sadistic, nilibahatika kukaa na mtu wake wa karibu akanielezea haiba yake.

Ni wale wanawake wanaghubu na kupenda visirani, akikaa na mwanaume anataka amcontrol na kuonyesha umwamba. So wanaume wengi akikutana nao wanashindwana nae hilo eneo. Na sasa hivi amekuwa na cheo hicho ndio kabisa.

Hata wanawake wenzake wamapata wakati mgumu kubond nae sababu ni mtu wa kuwaonyesha wenzake kuwa yeye ni wa zaidi na ziada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jokate ni wale mabinti sadistic, nilibahatika kukaa na mtu wake wa karibu akanielezea haiba yake.

Ni wale wanawake wanaghubu na kupenda visirani, akikaa na mwanaume anataka amcontrol na kuonyesha umwamba. So wanaume wengi akikutana nao wanashindwana nae hilo eneo. Na sasa hivi amekuwa na cheo hicho ndio kabisa.

Hata wanawake wenzake wamapata wakati mgumu kubond nae sababu ni mtu wa kuwaonyesha wenzake kuwa yeye ni wa zaidi na ziada.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo akaona aangukie kwa Mzee baba angalau
 
Niliwahi kusikia kwamba watoto wa huyu mzee walikuwa hawatumii jina la ukoo (Ndunguru) ila walikuwa wanatumia majina yao waliyopewa kama huyo Costantine Magavila (Constantine na Magavila yote ni yake aliyopewa alipozaliwa) ( Mwingine ni Martine Kolikoli , Martine na kolikoli yote ni yake hakuna jina la ukoo hapo) Jokate na mwegelo yote ni ya huyo jokate hakuna la ukoo hapo sababu ni kwamba huyo mzee alisema watumie majina yao tu bila jina la ukoo ili kama ukishafua jina lako kwa maisha utakayoishi basi uchafuke mwwenyewe usiharibu jina la ukoo mzima
Kwa mantiki hiyo, ni kama mfumo wa majina ya Kirundi utumia majina yote ya mhusika bila la ubini. Mfano, Theoneste Nkund'imana. Yaani jina la majahazi (la kigeni) na la asili.
 
Niliwahi kusikia kwamba watoto wa huyu mzee walikuwa hawatumii jina la ukoo (Ndunguru) ila walikuwa wanatumia majina yao waliyopewa kama huyo Costantine Magavila (Constantine na Magavila yote ni yake aliyopewa alipozaliwa) ( Mwingine ni Martine Kolikoli , Martine na kolikoli yote ni yake hakuna jina la ukoo hapo) Jokate na mwegelo yote ni ya huyo jokate hakuna la ukoo hapo sababu ni kwamba huyo mzee alisema watumie majina yao tu bila jina la ukoo ili kama ukishafua jina lako kwa maisha utakayoishi basi uchafuke mwwenyewe usiharibu jina la ukoo mzima
JF kuna habari zote muhimu. Hii niliaikia kwa Costatine mwenyewe
 
Hata MKAPA ni ubini wa upande wa mama yake. Hili ni jambo la Kawaida kwa makabila kadhaa ya kusini. Source: Kitabu chake mwenyewe Mzee Mkapa ''My life, My purpose''
mbona hata membe anatumia ubini wa mama huko lindi ni kitu cha kawaida sana
 
Covid-19

Lets call spade a spade

Halafu anaitwa Ndunguru,akina Jokate yalivyo malimbukeni hayatumii jina Ndunguru sababu limekaa kienyeji na ni la mkoa wa kusini asilia

Mabishoo haya matoto,ndio maana ni ma failure

U-DC na sijui motivational speaker and other nonsenses ni ma-failure matupu..

Hayana respect with where they come from,with their origins,ubishoo umeyajaa haya matoto

Yameniudhi sana haya matoto,hovyo kabisa!
We jamaa always unawakiaga kwenye gia.. Hizi hasira kwa kila kitu unazitoaga wapi?
 
Niliwahi kusikia kwamba watoto wa huyu mzee walikuwa hawatumii jina la ukoo (Ndunguru) ila walikuwa wanatumia majina yao waliyopewa kama huyo Costantine Magavila (Constantine na Magavila yote ni yake aliyopewa alipozaliwa) ( Mwingine ni Martine Kolikoli , Martine na kolikoli yote ni yake hakuna jina la ukoo hapo) Jokate na mwegelo yote ni ya huyo jokate hakuna la ukoo hapo sababu ni kwamba huyo mzee alisema watumie majina yao tu bila jina la ukoo ili kama ukishafua jina lako kwa maisha utakayoishi basi uchafuke mwwenyewe usiharibu jina la ukoo mzima

[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo sababu ya kutumia majina tofauti imeniacha hoi
 
Back
Top Bottom