TANZIA Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia

TANZIA Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia

Huyu mjomba hua ana hasira muda wote na kwa kila kitu.. Itakuwa katika makuzi yake hakuwa anapewa nafasi ya kujieleza na kuonyesha anaweza nini
Kumbe ni kawaida yake.

Huyu chalii Wyatt Mathewson hata hii nayo atabisha kwa jazba.

Halafu anajidai traditionalist wa majina ya asili ya watu wa Africa, wakati ID yake humu JF amejipa jina lisilo la asili yake.

My take:-

Utandawazi (muingiliano wa tamaduni za watu wa jamii mbalimbali) unakuja na mengi, hivyo katika huu utandawazi kila mmoja achukue kile anachokiona kinamfaa as long as hakiuki Haki za kiBinadamu.

Yaani suala dogo tu la Jina limemfanya chalii aje kwa povu la jazba bila hata kujua kwa nini mtu anatumia jina husika.

Chalii analazimisha watu watumie majina anayoyataka yeye.
 
Lala salama mzee Ndunguru
Pole kwa familia na wote walioguswa na msiba
 
Update


Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo @jokatemwegelo , Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia Alfajiri ya leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa (ICU) kwa muda sasa baada ya kupata kiharusi (stroke).

DC Jokate ametuthibitishia taarifa hizo na kusema taratibu za mazishi bado zinaendelea nyumbani kwa Marehemu.


Update

Mwili wa Baba Mzazi wa DC wa Kisarawe Jokate Mwegelo Mzee Urban Costa Ndunguru unatarajiwa kuagwa Jumatatu December 21,2020 katika Kanisa la St Peters DSM, kisha kusafirishwa Jumatatu hiyohiyo kwenda Mbinga Mkoani Ruvuma.


Mazishi yanatarajiwa kufanyika Jumanne December 22, 2020, katika kijiji cha Tanga, Mbinga. Mzee Ndunguru amefariki Alfajiri leo Hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa (ICU) kwa muda baada ya kupata Kiharusi (Stroke)

#RIPMzeeNdunguru







Chanzo Cha habari-Millardayo
 
Mwegelo ni Ndunguru. Kusini makabila yanatumia majina haya kwa wanawake mfano Komba ni Nakomba.
Mbunda ni Nyiwolelu.
Haule ni Nyamalongo Nk. Kama angekua anaitwa mfano Jokate Haule angeweza kuwa Jokate Nyamalongo ni kitu hiko hiko.
Huu ni utamaduni wa huko iko hivyo.

Jamiiforum hata kama watu hawajui kitu wanaeza kujifanya wanajua hii hapa ya kwanini anatumia Mwegelo wakati ni Ndunguru wengi wanapotosha.
Koo za kingoni huwa zinatajwa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke.Ndunguru inatumika kwa mwanaume mwanamke mwegelo ,komba wanawake wanaitwa hanji au nakomba,ntanga wanawake in chigalu nk

Wee jamaa Wyatt Mathewson Umeita watu vichaa, ila nina hakika mpaka sasa kichaa halisi umeshamjua. Who else, if not you! Definitely you are the real kichaa
 
Hahahaaa

Kwenye majina ya uongo eti unanipa moral authority ya kuchagua jina la uongo la Kiafrika?

The theme here ni "majina ya uongo" from "unknown internet characters" eti unanipa obligation ya kuchagua aina fulani ya "jina la uongo"!

Unajua mna kichaa ujue!

Wewe unaacha kutumia jina lako halisi in real life kukwepa watu kujua wewe ni NDUNGURU!

The theme here ni "jina halisi in real life"....unakimbia kwenu?

Jina la ukoo?Sio jina la kwanza,ni jina la UBINI....

Majina ya UBINI hua sio la kizungu,wewe unakimbia UBINI wako?

Kumbuka tunaongelea jina la UBINI,la ukoo,la asili kabisa....!

Mnakosa hoja nyie vichaa!
Kichaa kabisa tumeshakujua ni wewe, na ukichaa wako umeuzidi ukichaa wangu mbali sana.
 
Sina jina hapa...

Yote humu ni majina ya uongo to internet characters!

Sio real names to real people in real life!

Najua wewe ni robot au mimi ni robot?

Shida ni wewe kukimbia jina lako la UKOO,sio jina la kwanza,hapana,jina la UKOO ambayo hua ya kiasili eti usionekane wewe ni NDUNGURU?

Jina la UKOO I'm talking here!

Jina la UKOO ni jina la asili kabisa la ukoo wako ambalo hua sio la kizungu,unalikimbia sababu ni NDUNGURU?

I hate stupidity,kama kuchukia stupidity ni HATE then let it be!
You are very stupid aisee

Very stupid ... Beyond limits
 
Duuh kazi ipo
Stress NI ugonjwa?
Kwa hiyo nilipokwambia una stress ukajua nimekwambia una ugonjwa!!!

Nahisi stress zitakuwa zimekuletea shida ya ugonjwa humo kichwani
Fanya umuone daktari
Jamaa ana matatizo ya akili
 
Hahahaaa

Kwenye majina ya uongo eti unanipa moral authority ya kuchagua jina la uongo la Kiafrika?

The theme here ni "majina ya uongo" from "unknown internet characters" eti unanipa obligation ya kuchagua aina fulani ya "jina la uongo"!

Unajua mna kichaa ujue!

Wewe unaacha kutumia jina lako halisi in real life kukwepa watu kujua wewe ni NDUNGURU!

The theme here ni "jina halisi in real life"....unakimbia kwenu?

Jina la ukoo?Sio jina la kwanza,ni jina la UBINI....

Majina ya UBINI hua sio la kizungu,wewe unakimbia UBINI wako?

Kumbuka tunaongelea jina la UBINI,la ukoo,la asili kabisa....!

Mnakosa hoja nyie vichaa!
Please seek medical attention

You are sick

Very sick... And miserable
 
Mkuu umeongea kwa kutumia akili na weledi bila mihemuko kama hao wengine.

Bila shaka umejiuliza maseali mengi na ndio ukaja na reasoning ya kisomi kama hii.

Watubwanaishia kulaumu mtu kwa official names anazo tumia biala kufahamu source zake.

Sasa kama jina lilitumika mpaka shuleni kuna haja gani ya kumlaum mtoto?
Tusiwalaumu sana hawa akina Jokate kutumia surname ya Mwogelo labda ni maamuzi ya wazai wao. Kikubwa ni kujua kwa nini Jokate anatumia surname ya Mwogelo badala Ndunguru. Yawezekana baba yao mzazi ndiye alitumia jina la kwao na mama yeke hivyo hakupenda watoto wake aendelee kutumia jina la kwao na mama yake lazima kuna sababu. NI mtazamo tu.
 
Back
Top Bottom