Dadakidoti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2024
- 399
- 1,409
hapana. ila kuhusu ndoa nilishayatoa kwenye akili yangu sasa nafocus kufanya vitu vingine.NDOA si shida, shida ni kuiishi hiyo NDOA. Ishi namna hiyo ikibidi ili uepuke kuwa Mwanafalsafa wa WANAUME WOTE NI MBWA hapo baadae.
Mkuu, unajua wazazi kuna upande wa watoto wao huwa hawauju kabisa. Mfano mimi mwenyewe wazazi wangu wanaamini kabisa kijana wao nimenyooka vibaya mno. Hii ni kwa sababu kuna upande wangu wa pili huwa siwaoneshi wao. Ila siku wakiujua ndio watajua mm nipoje.Moja ya tatizo kubwa la binadamu ni kutafuta dosari kwenye kila kitu,basi tambua yafuatayo:
1.mimi ni suriyama wazazi wangu mmoja alikuwa mtanzania na mwingine anatokea ulaya na makuzi yetu,tumelelewa kwa tamaduni mbili
2.huyo mwanangu hakuwa anachagua watu wenye kipato na ndio maana kaamua kuzaa ni mtu ambae uwezo wake ni mdogo sana
3.ukaribu wangu na mwanangu una mipaka,sio kwamba namtawala au namregulate,la niko nae karibu sana lakini with limitations
4.japo amesoma vizuri lakini ni mwanamke mwenye heshima na nidhamu ya juu sana na namjivunia sana
As a father najua unacho feel, pole ndo ukubwa. Katika watu wanaoteseka ni wanawake kuhusu ndoa tena akiwa anatoka familia ina kauwezo ka kumlisha, huwa wanachagua wanaume na kizazi hiki kama unavyoona kina ujinga mwingi pia vijana waoga wa kuanzisha famikia mana wanatishwa. Mruhusu sometime sio kila fungu analoomba apate.Hayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa.
Kila akipata mwanaume hafiki nae mbali,japo ni mdada ambae hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa kutoka out na nimemlea kwa dini ya kikatoliki japo mie ni muislamu,kwani ndio dini ya wazazi wake ambao kwa sasa hawako duniani
Ana kazi yake na kipato japo sio kikubwa.Kasubiri sana kupata mchumba hapati,tunaongea nae sana,nilimuomba padri wake anakosali amuombee,lakini hakuna kitu,alipata wanaume kama 3 hivi na kumbe walikuwa wanamtapeli maana wote wana wake.
Sasa jana kanipigia simu,baba niruhusu tu ni zae bila ndoa, umri unapita,aisee bila kuficha nililia sana,mwishowe nimemwambia sawa,fanya roho yako itakavyokuongoza
Pole sana.niacheni jamani niko bize na mtoto wangu. habari za baba yake hazinihusu mtu kama hajui majukumu yake wa nini sasa.
Wajukuu tuko busy🤣🤣🤣Namtumaje Bibi wakati Wajukuu wapo? Mimi na Bibi yenu mjue tumezeeka Mjukuu 🤗
no one perfectNdo hivyo ndugu yangu dunia hii haijawahi kuwa na usawa unaepata hili anakosa lile. ila bado watu hataacha kukunyoshea kidole utafikiri wao hawana makosa. kikubwa ni kutokuwajali na kufanya kile unaamini.
Njoo basi tuzae mwengine.Kumbe tupo wengi.story yake inafanana na yangu kwa asilimia kubwa. mimi nilipofikisha umri huo nikaamua kuzaa bila ndoa. sasa hivi ni 36 na katoto kangu kana miaka miwili. nina mfurahia sana mtoto wangu sasa napambana kwa ajili yake. na nina amani mambo ya ndoa nilishayaweka kwenye dampo la taka sasa ni kupambana tu na maisha. unaweza subiri ndoa mwisho wa siku umri ukakuacha kabisa ndoa ukakosa na mtoto ukakosa vilevile.
Huna akili je,nifanyeje sasaBaba zima unatukana wanao?
Hahaha..........kuweni na huruma na Wazee, si mnajua hela yetu ya mauzo ya Tumbaku yametoka 🤗Wajukuu tuko busy🤣🤣🤣
Hahaha.............Wazee ni hazina ujueSitaki ushauri wenu.
Ulijitombesha kwake ili iweje, pambania kombesitaki kuolewa na kitunguu maji. kile hivi mtu hajui maisha nini si kwamba ni mtoto mdogo ni mtu mzima na hana familia wala mtoto ila majukumu hataki wa nini sasa.
Babu naomba hela🤪🤪😋😋😋Hahaha..........kuweni na huruma na Wazee, si mnajua hela yetu ya mauzo ya Tumbaku yametoka 🤗
Fanyeni mje ili mtusaidie kuzihesabu😜
Hazina ya konywe!Hahaha.............Wazee ni hazina ujue
Hela gani ya Tumbaku imelipwa saiv😀 we mzee acha ufataki.Hahaha..........kuweni na huruma na Wazee, si mnajua hela yetu ya mauzo ya Tumbaku yametoka 🤗
Fanyeni mje ili mtusaidie kuzihesabu😜
Pole zake. Kuna kitu hakipo sawa, wapo watumishi wa Mungu wanaweza msaidiaHayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa.
Kila akipata mwanaume hafiki nae mbali,japo ni mdada ambae hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa kutoka out na nimemlea kwa dini ya kikatoliki japo mie ni muislamu,kwani ndio dini ya wazazi wake ambao kwa sasa hawako duniani
Ana kazi yake na kipato japo sio kikubwa.Kasubiri sana kupata mchumba hapati,tunaongea nae sana,nilimuomba padri wake anakosali amuombee,lakini hakuna kitu,alipata wanaume kama 3 hivi na kumbe walikuwa wanamtapeli maana wote wana wake.
Sasa jana kanipigia simu,baba niruhusu tu ni zae bila ndoa, umri unapita,aisee bila kuficha nililia sana,mwishowe nimemwambia sawa,fanya roho yako itakavyokuongoza
Asante kwa mawazoPole zake. Kuna kitu hakipo sawa, wapo watumishi wa Mungu wanaweza msaidia
Hahaha.......kuweni na imani na Wazee Mkuu 🤗Hela gani ya Tumbaku imelipwa saiv😀 we mzee acha ufataki.