Baba niruhusu nizae

Mkuu, unajua wazazi kuna upande wa watoto wao huwa hawauju kabisa. Mfano mimi mwenyewe wazazi wangu wanaamini kabisa kijana wao nimenyooka vibaya mno. Hii ni kwa sababu kuna upande wangu wa pili huwa siwaoneshi wao. Ila siku wakiujua ndio watajua mm nipoje.

Sasa mkuu kwa maelezo yako inaonekana hakuna shida upande wako wala hakuna shida upande wa binti, basi tuseme ni dunia imeamua kumfanyia hivyo na si kingine. Kwa maana nyingine yanayomkuta yapo nje ya uwezo wa binadamu, hivyo hatuna cha kurekebisha bali ni kuacha iwe hivyo.

Kila la heri mkuu
 
As a father najua unacho feel, pole ndo ukubwa. Katika watu wanaoteseka ni wanawake kuhusu ndoa tena akiwa anatoka familia ina kauwezo ka kumlisha, huwa wanachagua wanaume na kizazi hiki kama unavyoona kina ujinga mwingi pia vijana waoga wa kuanzisha famikia mana wanatishwa. Mruhusu sometime sio kila fungu analoomba apate.
 
Kuolewa na kuoa sio lazima, ni hiyari.

Huyo dada Atafute bwana Azae, maana ndo hitaji lake kwa sasa.
Lol
 
Ndo hivyo ndugu yangu dunia hii haijawahi kuwa na usawa unaepata hili anakosa lile. ila bado watu hataacha kukunyoshea kidole utafikiri wao hawana makosa. kikubwa ni kutokuwajali na kufanya kile unaamini.
no one perfect
 
Njoo basi tuzae mwengine.
Nitakupa mapacha..!!!

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
sitaki kuolewa na kitunguu maji. kile hivi mtu hajui maisha nini si kwamba ni mtoto mdogo ni mtu mzima na hana familia wala mtoto ila majukumu hataki wa nini sasa.
Ulijitombesha kwake ili iweje, pambania kombe
 
Toka dunia iumbwe Wanawake ni wengi kuliko Wanaume,cha ajabu kuna mifumo iliibuko hapo ya mke moja na mwanaume moja imeharibu kila kitu.
Ingekuwa zamani,asingekosa Mume.
 
Hahaha..........kuweni na huruma na Wazee, si mnajua hela yetu ya mauzo ya Tumbaku yametoka 🤗

Fanyeni mje ili mtusaidie kuzihesabu😜
Babu naomba hela🤪🤪😋😋😋
 
Pole zake. Kuna kitu hakipo sawa, wapo watumishi wa Mungu wanaweza msaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…