fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
- #41
Ameishachagua mtu wa kuzaa nae,ni mkaka ambae hana kipato kikubwa,hawezi kuoa kwa sasa na kaishaamua kuwa atazaa tu bila kuolewaBaba mkwe nipigie chapuo iyo mimba iwe yangu ..mtoto awe na baraka za JF