Baba niruhusu nizae

Baba niruhusu nizae

Muda mwingine unaweza kutaka kuwa sawa na wengine au jamii inavyotaka uwe.

Ila Mungu akawa amekuandalia njia yako ili uwe salama na sio njia ambayo jamii inataka upite.

Kuna watu baada ya kuzaa maisha yao yamekuwa ya mateso na majuto mpaka kufa kwao.
Upo sahihi, Biblia inasema, matarajio ya Moyo ni ya anadamu jawabu la ulimi lapatikana kwa baba Mungu...
 
Hayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa.

Kila akipata mwanaume hafiki nae mbali,japo ni mdada ambae hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa kutoka out na nimemlea kwa dini ya kikatoliki japo mie ni muislamu,kwani ndio dini ya wazazi wake ambao kwa sasa hawako duniani

Ana kazi yake na kipato japo sio kikubwa.Kasubiri sana kupata mchumba hapati,tunaongea nae sana,nilimuomba padri wake anakosali amuombee,lakini hakuna kitu,alipata wanaume kama 3 hivi na kumbe walikuwa wanamtapeli maana wote wana wake.

Sasa jana kanipigia simu,baba niruhusu tu ni zae bila ndoa, umri unapita,aisee bila kuficha nililia sana,mwishowe nimemwambia sawa,fanya roho yako itakavyokuongoza
Wewe sio baba bora,kama uliruhusu Binti yake azae bila ndoa.......yamkini ndio uliyeruhusu tabia hatarishi za binti yako,.........atolewe bikira,afanye uzinzi,huku ukichekelea,kisha utegenee mwanaume aje kuoa "used item",..........
Na ushauri wako ni dhambi kwa mujibi wa uislam
 
Poleni sana, mambo ya kuoana siku hizi yamekuwa magumu sana. Wapo wanawake wengi ninawafahamu umri unaenda na hawaolewi, mahusiano yapo ila hayadumu. Sisi wanaume tunawakimbia tunakwenda kuona kwingine, hii ni mbaya sana. Unafikia muda inatakiwa uwe na familia lakini huna mara nyingi inaumiza hata ujikaze vipi.
 
Poleni sana, mambo ya kuoana siku hizi yamekuwa magumu sana. Wapo wanawake wengi ninawafahamu umri unaenda na hawaolewi, mahusiano yapo ila hayadumu. Sisi wanaume tunawakimbia tunakwenda kuona kwingine, hii ni mbaya sana. Unafikia muda inatakiwa uwe na familia lakini huna mara nyingi inaumiza hata ujikaze vipi.
Ni kweli basi tumuombee Mungu tu mwanangu
 
Wewe sio baba bora,kama uliruhusu Binti yake azae bila ndoa.......yamkini ndio uliyeruhusu tabia hatarishi za binti yako,.........atolewe bikira,afanye uzinzi,huku ukichekelea,kisha utegenee mwanaume aje kuoa "used item",..........
Na ushauri wako ni dhambi kwa mujibi wa uislam
unajua wewe ni mjinga usiyejua jambo hili na umelidandia tu
 
Kuwa baba wa binti ni kazi kubwa sana, machungu yake sio madogo hasa kwa hiki kizazi tunacholea.

Atazaa sawa, at that age tunategemea hawezi kuishi mwenyewe. Ni aibu sana mwanamke 35+ huna stable relationship, anakuja huyu anadumu 1yr, anakuja yule six months, hata stara unakosa.
 
Kumbe tupo wengi.story yake inafanana na yangu kwa asilimia kubwa. mimi nilipofikisha umri huo nikaamua kuzaa bila ndoa. sasa hivi ni 36 na katoto kangu kana miaka miwili. nina mfurahia sana mtoto wangu sasa napambana kwa ajili yake. na nina amani mambo ya ndoa nilishayaweka kwenye dampo la taka sasa ni kupambana tu na maisha. unaweza subiri ndoa mwisho wa siku umri ukakuacha kabisa ndoa ukakosa na mtoto ukakosa vilevile.
ndoa Ina heshima yake. Ndio mpango wa Mungu kwa mwanadamu. Tafuta kujua ni nini mapenzi ya Mungu kwako, ili uyafanye. Usidhani kuzaa ni lazima.
 
Mwanaune unajua hadi wanaune aliopita nao binti wa kumlea
Kasongo ye ye ee
Mobali na ngai

Kasongo nga nawe oo

Zonga libala ee

Kasongo yo yo, mobali na ngai

Kasongo nga nawe oo

Zonga libala ee

Nga na ndako Kasongo

miso na nzela

Soki okozonga dia ee

yebisa nga ye ee

Libala na ndako Kasongo

batunaka ngai

Tata azali wapi ee

naloba nini ee
 
Kuwa baba wa binti ni kazi kubwa sana, machungu yake sio madogo hasa kwa hiki kizazi tunacholea.

Atazaa sawa, at that age tunategemea hawezi kuishi mwenyewe. Ni aibu sana mwanamke 35+ huna stable relationship, anakuja huyu anadumu 1yr, anakuja yule six months, hata stara unakosa.
tumuombee kwa Mungu
 
Back
Top Bottom