Baba niruhusu nizae

niacheni jamani niko bize na mtoto wangu. habari za baba yake hazinihusu mtu kama hajui majukumu yake wa nini sasa.
Mkuu, ulimwambia, mkakubaliana uzae atatimiza majukumu halafu hayatimizi au ulibeba mimba mwenyewe kwa malengo yako ya kutokuzeeka bila mtoto?
 
Hivi sasa kinachofanya muwakimbie wanawake ni nini? Tufanye huyo mwanamke ni wife material.
Moja ya sababu inayofanya wadada wengi wasiolewe ni kwasababu wanaomba sana hela, siwaelewagi kwa kweli, sijui wanakua wamejikatia tamaa ya kukutana na mwanaume wa maana Joline Donatila Dadakidoti
Sio wamejikatia tamaa mtu anayaishi malengo yake kwa namna anavyoyatazama maisha. Kama yeye anaamini kuwa hatakiwi kujitafutia bali ni wa kupewa ni ngumu sana kuishi na mtu wa hivyo kama mke sababu maisha kusaidiana . Kazi ni kwako muoaji.
 
Naomba uniunganishe nae!! Nani najitaji mwanamke.
 
Kila kiumbe aliyekuja duniani alipangwa aje. so dont be shy kama namba inatembea we zaa usisubiri treni ikakupita. Mchungaji mmoja alikuwa anapiga kelele tumechoka kubatiza watoto wasiotokea kwenye ndoa. nikajichekea tu mwenyewe moyoni namwambia mbona hili ni trela but in 5 year to come hii itakuwa ni norm. maana wadada wenye 28 to 40 ambao hawatakuja kuolewa ni wengi aisee na no wazuri tu. unadhani watakubali saa iyoyome bila kuwa na mtoto Big No! so wachungaji wawe wapole tu wapokee viumbe hawa wa Mungu wasio na hatia
 
Poleni ila ndoa tamu asikwambie mtu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…