Hizo mvi ni laana za bibi🤣Hahaha..............na Mvi zote hizi Mjukuu
Kuweni na huruma tafadhali 🤗
Hahaha..................basi tunacha hiki cheti chetu cha MBAWazee wa hovyo kbisa.
Hahaha.................kuwa na imani na Wazee Mjukuu 🤗Hizo mvi ni laana za bibi🤣
Mkuu, ulimwambia, mkakubaliana uzae atatimiza majukumu halafu hayatimizi au ulibeba mimba mwenyewe kwa malengo yako ya kutokuzeeka bila mtoto?niacheni jamani niko bize na mtoto wangu. habari za baba yake hazinihusu mtu kama hajui majukumu yake wa nini sasa.
Hivi sasa kinachofanya muwakimbie wanawake ni nini? Tufanye huyo mwanamke ni wife material.Poleni sana, mambo ya kuoana siku hizi yamekuwa magumu sana. Wapo wanawake wengi ninawafahamu umri unaenda na hawaolewi, mahusiano yapo ila hayadumu. Sisi wanaume tunawakimbia tunakwenda kuona kwingine, hii ni mbaya sana. Unafikia muda inatakiwa uwe na familia lakini huna mara nyingi inaumiza hata ujikaze vipi.
Sio wamejikatia tamaa mtu anayaishi malengo yake kwa namna anavyoyatazama maisha. Kama yeye anaamini kuwa hatakiwi kujitafutia bali ni wa kupewa ni ngumu sana kuishi na mtu wa hivyo kama mke sababu maisha kusaidiana . Kazi ni kwako muoaji.Moja ya sababu inayofanya wadada wengi wasiolewe ni kwasababu wanaomba sana hela, siwaelewagi kwa kweli, sijui wanakua wamejikatia tamaa ya kukutana na mwanaume wa maana Joline Donatila Dadakidoti
🥵😂😂Dah
Mwanamke hawezi kukosa mtu wa kuzaa nae ila wa kumuoa ndiyo inaweza kuwa ngumu.Da! Sasa na yule anayezaa naye hataki kumuoa?
Hilo ni tatizo unaweza kusababisha bila kujua, especially kwa mwanao.Mwanamke hawezi kukosa mtu wa kuzaa nae ila wa kumuoa ndiyo inaweza kuwa ngumu.
Binafsi mwanamke akihitaji nimzalishe hakuna tabu Ila kuoa no
Naomba uniunganishe nae!! Nani najitaji mwanamke.Hayo ni maombi ya mdada mmoja ambae,nilimlea toka akiwa na miaka 3 hadi kumfikisha chuo kikuu,kwa ngazi ya shahada ya uzamili,sasa ana miaka 34,hajazaa,hajaolewa.
Kila akipata mwanaume hafiki nae mbali,japo ni mdada ambae hanywi pombe,havuti sigara,sio mtu wa kutoka out na nimemlea kwa dini ya kikatoliki japo mie ni muislamu,kwani ndio dini ya wazazi wake ambao kwa sasa hawako duniani
Ana kazi yake na kipato japo sio kikubwa.Kasubiri sana kupata mchumba hapati,tunaongea nae sana,nilimuomba padri wake anakosali amuombee,lakini hakuna kitu,alipata wanaume kama 3 hivi na kumbe walikuwa wanamtapeli maana wote wana wake.
Sasa jana kanipigia simu,baba niruhusu tu ni zae bila ndoa, umri unapita,aisee bila kuficha nililia sana,mwishowe nimemwambia sawa,fanya roho yako itakavyokuongoza
asante. nimekuelea sana ubarikiwe.ndoa Ina heshima yake. Ndio mpango wa Mungu kwa mwanadamu. Tafuta kujua ni nini mapenzi ya Mungu kwako, ili uyafanye. Usidhani kuzaa ni lazima.
Kuna siku Mungu atamjibuKafanya kila njia,kusali,kutembea kwenye mikutano,kupitia dating sites,kuomba,kuongea na watu na kila kitu alinishirikisha,watoto wangu wa kuzaa nao walifanya kila njia lakini bado hajafanikiwa
Nadhani ni jambo lenye sababu lukuki, vile vile inategemea na mentality ya mwanaume.Hivi sasa kinachofanya muwakimbie wanawake ni nini? Tufanye huyo mwanamke ni wife material.
🤣🤣🤣Kijana unaendeleaje na kumeza dawa zako za azuma?
Poleni ila ndoa tamu asikwambie mtu,Kumbe tupo wengi.story yake inafanana na yangu kwa asilimia kubwa. mimi nilipofikisha umri huo nikaamua kuzaa bila ndoa. sasa hivi ni 36 na katoto kangu kana miaka miwili. nina mfurahia sana mtoto wangu sasa napambana kwa ajili yake. na nina amani mambo ya ndoa nilishayaweka kwenye dampo la taka sasa ni kupambana tu na maisha. unaweza subiri ndoa mwisho wa siku umri ukakuacha kabisa ndoa ukakosa na mtoto ukakosa vilevile.
Yaani mpaka unashtuka 🤣🤣🤣Wanaume hawaoi wambea, wavuta shisha, watukanaji, wapiga vizinga, na walamba Koni. Mdada unakutana naye siku ya kwanza tu lkn anafakamia Koni kama yake.
Mimi nataka nimuoe Huyo je unaweza nikutanisha nae !?Ameishachagua mtu wa kuzaa nae,ni mkaka ambae hana kipato kikubwa,hawezi kuoa kwa sasa na kaishaamua kuwa atazaa tu bila kuolewa
Huwa inatisha sanaYaani mpaka unashtuka 🤣🤣🤣
Yeah sureMoney is not everything!
Wapo wenye pesa tunawaona na wana ukame wa kupata wanaume.