Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Hili swali nalikalibisha tu,kwa watu wenye uelewe wa mambo ya Dini.

Huyu ni nabii na mtume wa Mwenyezi Mungu, ambaye anakubaliki na Dini zote, kuanzia Uyahudi, Ukristo mpaka Uisilamu, na hawa wote ibada zao zimetofautiana.

Je, niwapi wanaomfata?
Mwamini yeye aliyesema " Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko. Yohana (8:56&58)
 
Kwani hata mkitafsriwa itakiwavyo mtakubali!


Uzuri wa bahati Qur'an inajitafsiri yenyewe, yaani aya za Qur'an zinasaidiana katika kufafanua mambo, hivyo wewe usihofu lete hiyo tafsiri na tutaipima kupitia huo mzani na mizani mingine inayofaa.
 
Mkuu wakati huo hakukuwepo na Dini. Ila kilichokuepo ni Imani Aidha imani kwa Mungu au kwa Miungu.

Kwa hiyo wakati huo wa Ibrahimu dini haikuepo maana hata yeye kabla ya hapo hakujua Mungu ila alikua akienenda kwa haki na ndio maana Mungu akamtokea na akabarikiwa kwa sababu ya nini? HAKI NA IMANI.
Alikuwa anasali kwa Mwamposa mbona nilivyosikiaga
 
Back
Top Bottom