Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Hakika...

Wa kuabudiwa ni YEHOVA Mungu wa mbinguni[emoji120]

Haiondoi kuwa duniani MAMLAKA ni lazima zitiiwe.....

YEHOVA hajatutaka "tuwadogoshe na kuwasigina" viongozi na watawala....

Sawa?!!!
 
Kwanza hapa siyo Rwanda, pili matusi yako hayana mashiko, tatu Serikali ya Samia haitafanikiwa kwenye hili jambo na mwisho huyo jamaa atashinda rufaa yake.
Kweli si Rwanda...

Kujifunza mazuri ya wengine si haramu.....

Ushauri wangu:-

Rais SSH atafanikiwa haswa ikiwa wahusika WATAYAFUNGIA MAKANISA NA MISIKITI YOTE isiyo na vibali.......

#Mwenyezi Mungu Ambariki Sana mh.Rais Samia Amen[emoji120]
 
Kelele misikitini sio mamlaka, inatusumbua wengine tusio amini kama wao. Sina tatizo na mamlaka yao, naomba utulivu nikiwa kwangu.
Una haki hiyo....

Fuata utaratibu ili wasiendelee kukukera na kukupoka haki yako ya kiraia.....
 
Una haki hiyo....

Fuata utaratibu ili wasiendelee kukukera na kukupoka haki yako ya kiraia.....
Nilijaribu nikaambiwa mimi na wenzangu ni wachochezi. Tulianza ngazi ya serikali ya mtaa, tukajaribu wilaya, tulijaribu mkoa enzi za Makonda, na tumejaribu Taifa NEMC tumeshindwa, hakuna anayetaka kupoteza chakula cha wana.
 
Nilijaribu nikaambiwa mimi na wenzangu ni wachochezi. Tulianza ngazi ya serikali ya mtaa, tukajaribu wilaya, tulijaribu mkoa enzi za Makonda, na tumejaribu Taifa NEMC tumeshindwa, hakuna anayetaka kupoteza chakula cha wana.
Kelele ni "disturbance"...

NEMC wasipoliona hili.....

Hiiiiiiii bagoshaaa
 
Huku mkoa wa pwani yako makanisa uchwara mengi yasiyo hata na kibali Cha balozi mbona haziguswi?
 
Kimsingi, ni kweli Mbarikiwa alikuwa ana changamoto ya kiakili na alikuwa anaishambulia na kujifanya mbabe dhidi ya serikali na ndio maana wamemfunga ila sio kwa kosa hilo la kutosajili Huduma.

Kwa hili wamemuonea na ni bora wangetafuta kosa lingine kwani ni wengi hawakuwa wamesajili huduma na hawakufungwa mfano suguye, Dr. Sizya mwenye makengeza yeye na mkewe wanaouza sabuni za Grace product au "zoa zoa products"

Hao wote zilifungwa huduma.na hakufungwa mtumishi. Kwa hili binafsi najua kufungwa kwa sababu ya zile tabia zake na nina amini hawezi kukaa jela zaidi ya mwaka. Lengo ni kumrekebisha tabia na atambue kuwa dola ipo. Wale CHADEMA waliokuwa wanamsifia kila mara hutawaona wakimsaidia au wakisaidia familia yake sasa. Jamaa wameshajitenga naye, anabaki na msalaba wake.
 
Huku mkoa wa pwani yako makanisa uchwara mengi yasiyo hata na kibali Cha balozi mbona haziguswi?
Hapo issue sio kanisa, issue ni Mbarikiwa Personal na kukashfu dola huku akijifanya kupambana na dola ndio kilichomfunga. Hakuna mtumishi anayeefungwa kwa kosa la kutosajili huduma mkuu. Kama hujasajili, hufungwa huduma na sio mtu.
 
Ukiipa serikali mamlaka ya kudhibiti madhehebu unayoyaita ya kishenzi, halafu serikali ikasema hizi dini zote ni ushenzi wa kigeni, makanisa yote na misikiti yote ni ukoloni wa kiutamaduni, futa yote, kuanzia leo marufuku.

Utakubali? Utafurahia?
Madhehebu ya kishenzi yanafahamika, mengi ni haya ya walokole
 
Serikali inaweza wala usilete ngonjera zako hapa. Unawalinganisha hawa washenzi na crusaders wakati wa byzantine era? You are wrong on that na hujamuelewa kabisa huyo anayeitwa Mbarikiwa. Mbarikiwa ni mental case and unfortunately anajenga cult yake.

Nafuu TUILAUMU Serikali wakati huu, kuliko TUJE TUILAUMU wakati Mwakipesile anachoma wafuasi wake.
 
Kwani kafungwa kwa kosa gani mkuu?
Km ni kuzusha uongo kesi ingekuwa ni hiyo.
Ila kosa lililompeleka jela ni kumiliki kanisa bila vibali.
Tujadili hilo sio hisia zako
Hilo kanisa analomiliki bila vibali ndilo anaeneza itikadi ya chuki. Kwa hiyo amehukumiwa kumiliki kanisa kinyume na sheria za Serikali. Unataka tujadili nini zaidi?

Acheni kuendekeza vichaa, tuna mengi ya kufanya
 
Halafu kuna watu wanabutua mipesa kibao na kinachofanyika wanabadilishiwa wizara tu anyway Hakuna unyonge tena katika hii dunia
 
Kweli kabisa

Kama wanataka wazunguke wafungue ministries zoote zisizo na vibali..

Isiwe kwa Mwakipesile pekeyake.
Halafu kwanini sasahivi?
Miaka yote walikuwa wapi?
 
Wale wanaohubiri masokoni na stendi na kwenye mabasi waache mara moja. Rungu hili litawashukia.
Nonsense, mnachuja mbu mnameza ngamia. Watembea uchi, waimbaji wa matusi na ngono hamuwakamati, majizi na mabadhilifu hamkamati. Mungu wao yu hai, atawatetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…