Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Pamoja na kuwa viongozi wakuu wote wa Tanganyika na Zanzibar kuwa Waislamu.Saivi
Raisi muislam
Waziri mkuu muislam
Katibu mkuu kiongozi ni muislam
ambao ndo mamlaka kuu ya uteuzi. Je wanawapendelea waikristu na kuwabagua waislam wenzao.
Lakini bado wananung'unika kwamba hawapewi kipaumbele kwenye nafasi za uongozi.
Sijui hawa jamaa wanaridhika na nini.
Zanzibar viongozi wote ni Waislamu lakini hili hawalisemi.
Labda ili waridhike na Tanganyika pia wanataka viongozi wote wawe Waislamu kama Zanzibar.
Hawa watu ni wa kuwavumilia tu, nadhani wana kitu flani hakija kaa sawa vichwani mwao.
Hata wasome vipi lakini hicho kitu hakiondoki vichwani mwao.
Ila watambue kila kitu kina mwanzo mwisho wake.