Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #201
Che...Msomi kama upo ili kuleta mgawanyiko katika jamii yako
Usomi wako ni Zero.
Kama msomi kweli lete mabadiliko chanya pale palipoonekana pana kasoro kwa kuweka mikakati chanya itakayo kuwa na manufaa.
Kulialia mitandaoni na kukumbusha makosa ya kale bila kuleta suluhisho ni upotofu.
Ksk,In academia we make reference to other academicians/experts and not ourself. Referencing someone means trying to show that, what you said/wrote is not only your opinion, but that of other experts you referenced. Huyo profesa wako wa Iowa hakukufundisha ukweli huu. Wewe unakuwa mlalamikaji na shahidi kwa wakati mmoja. Haiendi hivyo mzee mwenzangu, ama sivyo unazeeka vibaya.
Sojo...unaweza kuprove hii statistics uliyoiweka hapa maana chanzo cha hizi takwimu ni nini?
Hawezi jibu hili swaliHeshima kwako Mzee wangu.data kama Hz awamu hii unazo tuzijue.
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Belo,Hawezi jibu hili swali
Najua data unazotunza ni zile zinazokubaliana na hoja zako tu,zinazopinga hoja zako huwezi kuzitunza ,kwa tunaokufahamu hapa JF hatushangai baada ya wiki utaanzisha mada kama hii na hoja zako ni hizi hiziBelo,
Hakika umesema kweli siwezi kujibu kwa kuwa sinazo hizo data.
watumwa hawakuuzwa na waarabu , hata waafrika wakiuza watumwa na wazunguNaona sasa umechanganyikiwa. Uuzwaji watumwa kule Zanzibar ni propoganda za Kivukoni. Soko kuu la watumwa Zanzibar, ni propoganda za Kivukoni. Ila wewe haya ya kwako yasiyo na shahidi zaidi ya wewe mwenyewe ndiyo ukweli. You are stooping too low.
MFUMO NI WA KRISTO NA NDIO UNAOWATESA MPAKA WAKRISTO WENGINE KAMA WALIOKO CHADEMA NA VYAMA VYENGINE, CCM inaendelea kufuata mfumo ule ule wa wakoloni kuwatesa wanaowapingaMfumo gani wakati mfumo wa serikali ni secular
Mtochoro,Hivi Waislamu wao kutopenda Shule toka tupate Uhuru ilitokana na Nini? Au wanafundishwa såna kuhusu Ahera Na kuona hapa Duniani sio muhimu?
Wewe usilete uongo, ubaguzi na ujinga. Hata huko kwenye sharia ambako kidokozi hukatwa mikono, muongo hukatwa ulimi, mzinifu hukatwa ndunde, bado hayo yote yapo. Huo mfumo wa sultan ulileta nini, zaidi kuhasiwa/ kuondolewa korodani watu weusi. Mshukuruni Karume, hata mna uhuru wa kuandika JF. Mbona hii historia unaificha. Mbona hujaweka bayana jinsi Sultan na uislamu wake alivyokuwa kinara wa kuwauza watu weusi utumwani. Mbona hujatuletea idadi ya watu weusi waliyohasiwa au kuondolewa korodani huko Zanzibar. Hivi hii historia haitakliwi kujulikana. Wewe unaitaka ile ya mtu wa Afrika Kusini tu (Abdul Sykes). Tumegee na sisi mateso ya watu waliyokuwa na rangi kama ya Karume kabla ya mapinduzi. Acha uongo, eti unaelimisha, hayo ya Waarabu huko Zanzibar siyo elimu. Unatung'ang'aniza tu ya Nyerere. Tumechoka, na msimamo wako wa siasa kali unajulikana. Jaribu hayo kule Muscat, Oman uone cha mtema kuni!
ksk,Wewe umefahimika wapi zaidi ya JF na huko nyuma TANZANET. Na hufamiki kwa sifa ya historia bali mlalamikaji mwenye siasa kali! Wewe unategemea nini kwa mtu wa Oman (Muscat). Dr. Harith Ghassany ni mwarabu ndugu yake sultan aliyepimnduliwa Zanzibar. Unafikiri atasema kizuri kipi kuhusu watu weusi. Lazima aandike yale wanayotaka kusikia walifukuzwa Zanzibar.
Che...Msomi kama upo ili kuleta mgawanyiko katika jamii yako
Usomi wako ni Zero.
Kama msomi kweli lete mabadiliko chanya pale palipoonekana pana kasoro kwa kuweka mikakati chanya itakayo kuwa na manufaa.
Kulialia mitandaoni na kukumbusha makosa ya kale bila kuleta suluhisho ni upotofu.
Haya, sasa tupo awamu ya 6, Rais Muislamu, Waziri mkuu muislamu, katibu mkuu kiongozi muislamu, Ratio ikoje?Sojo...
Uadilifu II
Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani Mwaka (2015), Rais alifanya uteuzi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi mbalimbali. Uteuzi wake ulikuwa kama ifuatavyo:
Mawaziri na Manaibu: 30.
Waislamu 10, sawa na asilimia 33%.
Wakristo 20, sawa na asilimia 67%.
Makatibu Wakuu na Manaibu: 50.
Waislamu 10, sawa na asilimia 20%.
Wakristo 40, sawa na asilimia 80%.
Wakuu wa Mikoa na Wilaya: 166.
Waislamu 41, sawa na asilimia 25%.
Wakristo 125, sawa na asilimia 75%.
Makatibu Tawala wa Mikoa na Wilaya: 163.
Waislamu 24, sawa na asilimia 15%.
Wakristo 139, sawa na asilimia 85%.
Wakurugenzi mbalimbali: 249.
Waislamu 45, sawa na asilimia 18%.
Wakristo 204, sawa na asilimia 82%.
Manaibu Kamishna wa Polisi: 25.
Waislamu 5, sawa na asilimia 20%.
Wakristo 20, sawa na asilimia 80%.
Makamishna Wasaidizi Waandamizi wa Polisi: 33
Waislamu 7, sawa na asilimia 21%.
Wakristo 26, sawa na asilimia 79%.
Jumla Kuu ya Uteuzi:
Waislamu asilimia 20%.
Wakristo asilimia 80%.
Wewe cheka chekaMaada karibu 50 zote unalialia
Ni lazima ujibiwe, Uislamu wako ni bora kuliko utanzania wako? Kama babu zako walikua na aina hii ya fikra sintoshangaa ni kwanini hawakuandikwa katika historia ya Tanganyika, Inaonekana wazi walipanga kujinufaisha wao binafsi na kuleta u dini hapa nchini.Masta ...
Ndiyo dunia watu lazima wapishane mawazo.
Hapana haja ya lugha za kukebehi "kanjanja," "kulia," nk.
Naamini unaijua kalamu yangu haiandiki matusi wala kejeli.
Nawe ungenilipa kwa heshima hiyo hiyo.
Bahati mbaya wanaostahili kujibu wako kimya na ukimya huu unatokana na uzito wa jambo lenyewe.
Unajibu wewe tena kwa jeuri.
Nadhani unamwambia Mohamed Said siyo mimiIn academia we make reference to other academicians/experts and not ourself. Referencing someone means trying to show that, what you said/wrote is not only your opinion, but that of other experts you referenced. Huyo profesa wako wa Iowa hakukufundisha ukweli huu. Wewe unakuwa mlalamikaji na shahidi kwa wakati mmoja. Haiendi hivyo mzee mwenzangu, ama sivyo unazeeka vibaya.
Maswali yangu hajibu hata. Hasa ya hali ya awamu ya SITA.Tusubiri aje mgalatia kama raisi atakuwa na hizi takwimuHawezi jibu hili swali