Baba wa Taifa na tatizo la Udini

Political marginalization means that some groups of people are not able to PARTICIPATE democratically in the DECISIONS MAKING PROCESS
If you dont have a seat at the DECISIONS MAKING table it is very hard to get your voice HEARD
 
Sijui kama amekuelewa.


Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 

Pep,
Mwalimu angeacha misingi mizuri leo tusingejikuta kwanza tunaandika upya historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Pili tusingekuwa na mjadala huu uliotukutanisha hapa.
Mwalimu angekua mdini asingerihusu mwinyi ambaye ni muislamu kuwa rais, ukweli ni kwamba mama sio Nyerere kuondoa utofauti wa makabila na udini Leo hii nchi ingekua kama Nigeria ambayo udini ni tatizo kubwa au Kenya ambao ukabila ni tatizo
 
Hata kwenye interview na shuleni unapewa namba yaan hutumii jina huo ubaguzi anaouongolea ukoje
 
Mwalimu angekua mdini asingerihusu mwinyi ambaye ni muislamu kuwa rais, ukweli ni kwamba mama sio Nyerere kuondoa utofauti wa makabila na udini Leo hii nchi ingekua kama Nigeria ambayo udini ni tatizo kubwa au Kenya ambao ukabila ni tatizo
Science...
Unazungumza na mtu ambaye somo hili analijua vyema na ameandika vitabu kadhaa pamoja na historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika.

Mimi naona vibaya naona haya kuyaandika yale ambayo nayafahamu.

Tuachilie mbali habari hii lakini ikiwa wewe unataka kujua ambayo huenda huyajui ingia kwenye link hii na fanya name search: mohamedsaidsalum.blogspot.com.
 
Imeloa,
Kilipotoka kitabu cha Abdul Sykes mwaka wa 1998 kila aliyekisoma alishangazwa na aliyoyakuta ndani.

Kitabu kimependwa sana kwani watu walikuwa wanaisoma upya historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Mzee nimekutafuta Sana hatimae nimekupata
 
Sihitaji kukujua kwasababu hujawahi kuwa na Jambo lolote la maana, hate wewe mwenyewe unajua.

Ndio maana unachochea watu huku wewe uko nyuma.
Na mada zake humu ukiziona wa kwanza wewe kuzisoma.

Wewe upo hapa kuchochewa au kuchochea?
 
Elimu ya dini ni ipi na elimu ya dunia ni ipi?
 
Nahisi kamma umejazwa ujinga na umekujaa.

Mkoloni ni nani?

Mwarabu ni rangi gani?
 
Mkoloni alikutawala kwasababu ulikua muislamu au mwafrika ..waarabu walichukua watumwa hapa tanzania kwasababu walikua wakristu au waafrika.

kulilia dini za watu ni kuchanganyikiwa
Unaelewa maana ya neno "dini" au unabwabwaja tu?

Mwafrika ni nani?

Unavyoandika hueleweki eleweki.
 
Naomba urudi kwa madarasa ya watoto ya dini yako, mwalimu wako atakujuza iwe padri/katekista au Sheikhe
Mwalim wangu kanifundisha vya kutosha, sana tena sana. Nna-mashaka kuwa wewe shule ulienda kusomea ujinga.

Unavyoandika unaonesha wazi kuwa huelewi maana ya neno "dini" ni nini. Kama unaelewa, eleza maana ya neno "dini" ni ipi?
 
Link kivip nawakati mwenye macho aambiwi tazama, kama Tanzania ingekua na udini mwinyi, kikwete na Samia wasingekua maraisi
 
Link kivip nawakati mwenye macho aambiwi tazama, kama Tanzania ingekua na udini mwinyi, kikwete na Samia wasingekua maraisi
Science...
Kama unayaamini macho yako basi yatakuonyesha kitu hapo chini:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA

Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
 
kwa CV hii kuipata inaweza kumchkua mtu angalao miaka 30

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Mwalim wangu kanifundisha vya kutosha, sana tena sana. Nna-mashaka kuwa wewe shule ulienda kusomea ujinga.

Unavyoandika unaonesha wazi kuwa huelewi maana ya neno "dini" ni nini. Kama unaelewa, eleza maana ya neno "dini" ni ipi?

Neno "ujinga" limekukaa na ni mwepesi sana kuona wenzio wajinga. Haya wewe uliye mwerevu tupe somo, maana kusomea "ujinga" kunahalalisha kuona wengine ni uzuzu!!
 
Hapa hapa jf nlitoa mada ya kukujadili na kujadili mada zako nkataman ufike ufafanue wewe ni Nan na kwann unaandika hzo mada .
Waziri...
Sijakuelewa.

Mimi ni nani hapa niko nimejitambulisha kwa jina langu halisi na picha na videos zangu naweka.

Watu wananifahamu kwa majina, sura na sauti.

Niko JF kwa zaidi ya miaka 10 na nimefikia hadi kupewa tuzo kwa michango yangu.

Wewe nani mwenzangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…