Baba wa Taifa na tatizo la Udini

 
Waziri...
Hapa sitaingia katika mjadala na wewe hadi kwanza tukubaliane kuwa tunajadili kwa adabu na heshima.

Kwa ajili hii basi nakuomba uondoe hiyo kejeli katika kicheko chako na urejee kwa heshima.

Ukishafanya hivyo In Shaa Allah nitatoa mchango wangu.

Nimeweka hapo juu ujuzi wangu mdogo ili tufahamiane lakini bahati mbaya hukuweza kutambua au umekupita.

Tafadhali fanya rejea.
 
Sawa mzee wangu
 
Kauli za mwalimu zilikuwa ktk maneno na ukija ktk vitendo unakuta tofauti, so alikuwa mfasaha na mlaghai sana, ukichunguza vitendo utakuta ni tofauti na alichoongea ndo maana aliasisi taifa lenye utamaduni wa kifisadi.
 
Tatizo letu kama watanzania tuna adui mmoja na ndo ametengeneza maadui wenzake anatuchapa tusistawi.Adui mkubwa ni CCM.Huyu ametengeneza ubaguzi,amestawisha ujinga ,umaskini na chuki za kikabila na kidini.Wanaoitwa Sukuma gang,ni kikundi cha watanzania wenzetu,Wana dini kama zetu lakini siyo wenzetu.Tunapotofautiana kwa vyovyote adui yeye hufurahi.Mzee Ndugayi alikuwa mtu na nguvu nyingi lakini adui alipomchoka akamtupa pembeni.Tuunganishe nguvu tunaweza kushinda adui.
Wazanzibar hutuona wabara kuwa chanzo cha matatizo yao lakini kumbe wao wanapata hayo matatizo kutoka watu wale wale wanaowatesa wabara.Adui yetu kama watanzania nimemtaja hapo juu.
 
Unaweza kumlaumu Mwalimu kwa mengi na mengine yote ila sio kwa Udini na Ukabila. Eneo hilo alifaulu kwa asilimia 100.
 
Unaweza kumlaumu Mwalimu kwa mengi na mengine yote ila sio kwa Udini na Ukabila. Eneo hilo alifaulu kwa asilimia 100.
Yoda,
Kuna mambo mimi huona haya kuandika hivi sasa.
 
Yoda,
Kuna mambo mimi huona haya kuandika hivi sasa.
Sifa ya kutokuwa na udini na ukabila Tanzania sio tu inazungunzwa huku ndani, bali hata majirani zetu wa karibu na walio mbali na sisi wanafahamu hivyo.
 
Yoda,
Kuna mambo mimi huona haya kuandika hivi sasa.

Sifa ya kutokuwa na udini na ukabila Tanzania sio tu inazungunzwa huku ndani, bali hata majirani zetu wa karibu na walio mbali na sisi wanafahamu hivyo.
Yoda,
Kama nilivyosema kuna mambo mimi nashindwa leo kuyajadili.

Hata hivyo katika kitabu cha Abdul Sykes sehemu ya mwisho (Part Three) inaitwa ''Conspiracy Against Islam.''

Kipate kitabu hiko usome.
Muhimu sana.

Usikimbilie kurejea kwangu kwa mjadala wa swali hili hadi umesoma.
Soma utaongeza maarifa kuhusu ukweli wa tatizo hilo katika nchi yetu.
 
Naona mambo ni MOTO. Kimya kimya
 

Attachments

  • IMG_20230227_171330.jpg
    106 KB · Views: 17
Nenda kawafaulishe waislamu kwa bao la mkono huko Necta
 
Pep,
Mwalimu angeacha misingi mizuri leo tusingejikuta kwanza tunaandika upya historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Pili tusingekuwa na mjadala huu uliotukutanisha hapa.
Ulitakiwa kuwa vipi huo msingi katika hoja hii?
 
Unaweza kumlaumu Mwalimu kwa mengi na mengine yote ila sio kwa Udini na Ukabila. Eneo hilo alifaulu kwa asilimia 100.

Your browser is not able to display this video.
 
Wakristu wao wanapambania haki ya Kabila, matambiko, Uchief, utemi wenzao Waislamu wanapigania Uislamu.
Mmeshapoteza hii game, soon or later mtajua, kwa maana hata wealth hamna pia, wealthy people Tanzania mnawajua !
2024 je bado unaamini comment yako ina afya kwa Taifa?

Ungependa iwe vipi, dola ya kiislamu,ya kikristo au tubaki kama secular(taifa lisiwe na dini)?
Na je wa dini tofauti waishi vipi?.

Hii comment yako ya 2022 imekaa kama unaamini katika machafuko na probably upande wako utashinda.

My friend, ni huzuni kuwa na fikra za aina hii,tukifika huko taifa halitatulia,watu watalia na kuzikana kila siku.

Mwisho watanzania wengi sio wajinga, ndio maana hata viongozi wenye dini zao waliposhika hatamu hawajajaribu suala kama hilo kabisa, hata Kikwete alikwepa issue ya mahakama ya kadhi.

Bora mambo yaende taratibu tu na sio kulazimisha,mfano kuongezeka population,kujenga misikiti na kufundisha watu dini yako unayotaka iwe dini ya taifa.
 
Ugomvi wako na Mwl Nyerere ni dhidi ya wazee wako tu sio watanganyika au Watanzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…