Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Hakika...Smart...
Ni hatari kuliko hatari yenyewe.
Ukiwa na watu wa dini moja wamehodhi fursa zote wakati wenzao wako nje ya hizo fursa unajenga chuki katika jamii.
Lazima hali hii iondoshwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika...Smart...
Ni hatari kuliko hatari yenyewe.
Ukiwa na watu wa dini moja wamehodhi fursa zote wakati wenzao wako nje ya hizo fursa unajenga chuki katika jamii.
Lazima hali hii iondoshwe.
Kinyungu,,,Mohamed Said kwa mujibu wa takwimu zenu ni dini ipi yenye wafusi wengi hapa nchini kati ya Wakristu na Waislam?
King...Mi pia nakihitaji na nipo Tabora.
Heshima yako Mkuu Mohamed Said. Mwaka wa 1976 au 77 nilipokuwa sekondari tulisoma kitabu " Kiu" kilichoandikwa na mtu mwenye jina la Mohamed Said, je huyu mtu ni wewe? Natanguliza Shukrani zanguBelo,
Tunaweza tukafanya mjadala wa adabu na heshima bila ya kejeli na kebehi.
Mathalan ukishanisoma na ukaona kuna jambo una fikra tofauti na zangu ukaeleza.
Sasa hii "kulia," na maneno ya kukashifiana yanatoa ladha ya mjadala.
Mbona katika hiyo list sijaona atheist hata mmoja na mi silalamiki?Kong...
Uadilifu II
Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani Mwaka (2015), Rais alifanya uteuzi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi mbalimbali. Uteuzi wake ulikuwa kama ifuatavyo:
Mawaziri na Manaibu: 30.
Waislamu 10, sawa na asilimia 33%.
Wakristo 20, sawa na asilimia 67%.
Makatibu Wakuu na Manaibu: 50.
Waislamu 10, sawa na asilimia 20%.
Wakristo 40, sawa na asilimia 80%.
Wakuu wa Mikoa na Wilaya: 166.
Waislamu 41, sawa na asilimia 25%.
Wakristo 125, sawa na asilimia 75%.
Makatibu Tawala wa Mikoa na Wilaya: 163.
Waislamu 24, sawa na asilimia 15%.
Wakristo 139, sawa na asilimia 85%.
Wakurugenzi mbalimbali: 249.
Waislamu 45, sawa na asilimia 18%.
Wakristo 204, sawa na asilimia 82%.
Manaibu Kamishna wa Polisi: 25.
Waislamu 5, sawa na asilimia 20%.
Wakristo 20, sawa na asilimia 80%.
Makamishna Wasaidizi Waandamizi wa Polisi: 33
Waislamu 7, sawa na asilimia 21%.
Wakristo 26, sawa na asilimia 79%.
Jumla Kuu ya Uteuzi:
Waislamu asilimia 20%.
Wakristo asilimia 80%.
Uteuzi huo umekuwa kama Sera kwa teuzi zinazoendelea ndani ya miaka yote mitano. Vilevile kama Mwongozo kwa wateule wenye mamlaka ya kuteuwa. Mwelekeo huo unakinzana na Katiba ya nchi ibara ya 13(4)(5), inayokataza ubaguzi wa aina zote. Kwa hakika Taifa halihitaji kiongozi wa nchi akiwa Muislamu basi ateuwe idadi kubwa ya Waislamu wenzake katika nafasi mbalimbali za uongozi wa nchi au akiwa Mkristo atumie uongozi wake kuteua idadi kubwa ya Wakristo wenzake katika uongozi nchini. Au akiwa Mzanaki ateuwe idadi kubwa ya Wazanaki wenzake katika nafasi mbalimbali za uongozi na mfano wa hayo.
Uchaguzi 2020 - Waraka wa Uchaguzi wa Shura ya Maimamu Tanzania
Bismillahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA WARAKA [MWONGOZO] UCHAGUZI MKUU WA TAIFA OKTOBA 2020 TANZANIA Umetolewa leo Tarehe 09. 07. 2020. UTANGULIZI Ugonjwa wa Korona – COVID-19 Sote Tunafahamu kuwa nchini mwetu na Dunia kwa ujumla kumekuwepo na taharuki kubwa ya Ugonjwa wa...www.jamiiforums.com
Aiseee uko vzr sana[emoji122][emoji122][emoji122]Okay mzee, Mohamed
Nadhani tuyaache kama ulivyoshauri.
Kama nilivyosema awali, inawezekana hayati alikua na mapungufu mengi tu (kama sisi wote)
Lakini hata kama ni kwa uchache.....alituunganisha sana.
Inawezekana hapa kwetu upo ubaguzi, sikupingi....ila nimetolea mfano Nigeria ambap kule ubaguzi ni wazi wazi.
Kila mtu anaona, na anajua namna wale jamaa wanapeana joto ya jiwe
Asante Sheikh.King...
Mimi simuuzaji wa vitabu nimekuelekezeni maduka ambayo wanauza hivi vitabu.
Ni la muhimu sana kwa sababu inawezekana wanahodhi madaraka kwa sababu ni wengi.Kinyungu,,,
Hili si muhimu hata kama kutakuwa na takwimu za kuaminika.
Muhimu ni kutazama tatizo hili la watu wa dini moja kuhodhi madaraka ya serikali na wenzao wakawa nje.
Na serikali iko kimya haijasema kuwa hawa wanahodhi madaraka kwa kuwa wao ni wengi.
Waji...H
Heshima yako Mkuu Mohamed Said. Mwaka wa 1976 au 77 nilipokuwa sekondari tulisoma kitabu " Kiu" kilichoandikwa na mtu mwenye jina la Mohamed Said, je huyu mtu ni wewe? Natanguliza Shukrani zangu
Kinyungu,Ni la muhimu sana kwa sababu inawezekana wanahodhi madaraka kwa sababu ni wengi.
Suala la wepi ni wengi halikwepeki.
Mwaka huu Kuna Sensa, tusubiri mzee aanze kuchochea waislamu wakatae kuhesabiwa mpaka pale dodoso la Sensa litakapowekwa kipengele cha dini.Shida yako kubwa ni kutaka waislamu wapewe special status Tanzania, kwa sababu ambazo kusema kweli hazina mashiko kabisa. Kila unapomuongelea baba wa Taifa, unaona kama hakufanya haki kuwapa waliokuwa waislamu katika kudai uhuru special favors.
Unalopigania kusema kweli hutalipata duniani na wala mbinguni maana lina lengo la kutugawa watanzania bila sababu
Scars,Mbona katika hiyo list sijaona atheist hata mmoja na mi silalamiki?
Kwanini waislamu ambao wamepewa vitengo wawe wa kwanza kuonekana kama wanatengwa kwasababu ya kuwa out numbered na wakristo ilihali kuna kundi la atheist ambapo hakuna hata kiongozi mmoja aliyepewa fursa?
Key...Sijui mimi ni Kipofu..., Eti Sioni Waislamu wala Wakristo bali kila nikiangalia naona Watanzania..., Ingawa wapo wachache (wakaidi) ambao wanatumia tofauti ndogo ndogo kututofautisha kuliko mengi ambayo yanatuunganisha...
Unajuaje kama mimi sipo kwenye 0% ya representation..., Unajua Watanzania wote sio Wakristu au Waislamu..., kuna Traditional African Religions na wengine ni Unaffiliated...Key...
Wazee wetu waliwaona Watanganyika wakati wanapigania uhuru wa nchi hii.
Leo tuko katika 20:80.
Wewe uko katika 80.
Hi ndiyo sababu huna unachokiona.
Mose...Mwaka huu Kuna Sensa, tusubiri mzee aanze kuchochea waislamu wakatae kuhesabiwa mpaka pale dodoso la Sensa litakapowekwa kipengele cha dini.
Sihitaji kukujua kwasababu hujawahi kuwa na Jambo lolote la maana, hate wewe mwenyewe unajua.Mose...
Mimi nadhani hunifahamu.
Jitahidi kunielewa mimi nani nini nafasi yangu katika jamii ya Waislam utajua nini la kusema kuhusu mimi.
Mose...Sihitaji kukujua kwasababu hujawahi kuwa na Jambo lolote la maana, hate wewe mwenyewe unajua.
Ndio maana unachochea watu huku wewe uko nyuma.