"Baba Yenu anaumwa kichwa, nendeni mkacheze nje"

"Baba Yenu anaumwa kichwa, nendeni mkacheze nje"

images
Na mimi nataka kulala na baba😭
 
Kipindi tukiwa watoto, baba unakuta amesafiri kaenda shamba wiki mbili au tatu, akirudi unaona mama kapika ugali-kuku na maziwa ya mgando ,mchicha pembeni na pilipili kichaa[mwendokasi]

Asubuhi tunatumwa sokoni kuandaa karanga mbichi na mbata, alafu mama anasema baba yenu anakuja leo.
Basi wote tunafurahi baba anarudi, khee, akija anaenda kuoga, anatusalimia , tunamrukia rukia anatupa zawadi ya maembe sindano/kunyonya, dodo na mapera alafu unaskia mama anasema "
msimsumbue baba yenu anaumwa kichwa, anaenda kulala , msimsumbue, leo nawapa rukhsa mkacheze kwa mama Mwakitobo ila msiumizane"

SWALI : Hii mbinu wazazi wa kisasa mnaitumia?
View attachment 3095178
Watoto wakisasa wanadinyana kuwaliko hata wazazi wao.
Kipya ni kipi???😂
 
Ila kuna baadhi ya watoto huwa wanashuhudia mechi. kuna siku nilienda sehemu kumsalimia rafiki yangu wa zamani sana, anakatoto kadogo around 3 years kakiume. sasa tumekaa kameona wageni michezo mingi, sasa kakaenda kwenye angle ya sofa kakawa kapiga pump mithiri kamkunja manzi doggie. nilivyokaangalia kakacheka, mi ikabidi nizuge na simu. mama yake akaenda kumchapa nje huko
 
Kipindi tukiwa watoto, baba unakuta amesafiri kaenda shamba wiki mbili au tatu, akirudi unaona mama kapika ugali-kuku na maziwa ya mgando ,mchicha pembeni na pilipili kichaa[mwendokasi]

Asubuhi tunatumwa sokoni kuandaa karanga mbichi na mbata, alafu mama anasema baba yenu anakuja leo.
Basi wote tunafurahi baba anarudi, khee, akija anaenda kuoga, anatusalimia , tunamrukia rukia anatupa zawadi ya maembe sindano/kunyonya, dodo na mapera alafu unaskia mama anasema "
msimsumbue baba yenu anaumwa kichwa, anaenda kulala , msimsumbue, leo nawapa rukhsa mkacheze kwa mama Mwakitobo ila msiumizane"

SWALI : Hii mbinu wazazi wa kisasa mnaitumia?
View attachment 3095178
Baba yako alifaidi sana mkuu😂
 
Back
Top Bottom