Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Hivi kuna watu wanasex Hadi Leo 2024?? God have mercy
Mambo ya kizamani Sana hayo acheni upuuzi dunia ilishatoka huko
Mambo ya kizamani Sana hayo acheni upuuzi dunia ilishatoka huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee😂😂😂Hivi kuna watu wanasex Hadi Leo 2024?? God have mercy
Mambo ya kizamani Sana hayo acheni upuuzi dunia ilishatoka huko
nani atawapeleka sasa hekaheka yote hiyo 😂😂Umejifunza kitu, kama huna hela ya kuwapa wakaogelee, wapeleke kwenye mall washangae huko huku wewe unazagamuliwa.
Mpe Dada wa jirani mwambie akawatembeze watoto.nani atawapeleka sasa hekaheka yote hiyo 😂😂
Na mimi nataka kulala na baba😭
You are lucky.Wangu Unampa simu aangalie baby shark do do do do do na katuni za cocomelon hasumbui tena na hana habari na nyie
Katakula mbata hakajawahi kuona, yani mama ana upwiru wa wiki tatu au mwezi kabisa alafu ulete nini?Na mimi nataka kulala na baba😭
Watoto wakisasa wanadinyana kuwaliko hata wazazi wao.Kipindi tukiwa watoto, baba unakuta amesafiri kaenda shamba wiki mbili au tatu, akirudi unaona mama kapika ugali-kuku na maziwa ya mgando ,mchicha pembeni na pilipili kichaa[mwendokasi]
Asubuhi tunatumwa sokoni kuandaa karanga mbichi na mbata, alafu mama anasema baba yenu anakuja leo.
Basi wote tunafurahi baba anarudi, khee, akija anaenda kuoga, anatusalimia , tunamrukia rukia anatupa zawadi ya maembe sindano/kunyonya, dodo na mapera alafu unaskia mama anasema "msimsumbue baba yenu anaumwa kichwa, anaenda kulala , msimsumbue, leo nawapa rukhsa mkacheze kwa mama Mwakitobo ila msiumizane"
SWALI : Hii mbinu wazazi wa kisasa mnaitumia?
View attachment 3095178
Tena style zote zinazotrend wanazoWatoto wakisasa wanadinyana kuwaliko hata wazazi wao.
Kipya ni kipi???😂
Sasahv hakuna siri tena kwenye ulimwengu huu😀😀Tena style zote zinazotrend wanazo
Kitu pekee wanachotafakar kwanini wao wakifanya hawatokei watotoSasahv hakuna siri tena kwenye ulimwengu huu😀😀
Aiseeee.Kitu pekee wanachotafakar kwanini wao wakifanya hawatokei watoto
Dah! Hapo unawaharibia 🤣, utashangaa kesho pesa ya kula shule hupati.Na mimi nataka kulala na baba😭
Umekumbuka kulamba ndimu na kunywa supu ya kukata kilevi!??Hivi kuna watu wanasex Hadi Leo 2024?? God have mercy
Mambo ya kizamani Sana hayo acheni upuuzi dunia ilishatoka huko
Baba yako alifaidi sana mkuu😂Kipindi tukiwa watoto, baba unakuta amesafiri kaenda shamba wiki mbili au tatu, akirudi unaona mama kapika ugali-kuku na maziwa ya mgando ,mchicha pembeni na pilipili kichaa[mwendokasi]
Asubuhi tunatumwa sokoni kuandaa karanga mbichi na mbata, alafu mama anasema baba yenu anakuja leo.
Basi wote tunafurahi baba anarudi, khee, akija anaenda kuoga, anatusalimia , tunamrukia rukia anatupa zawadi ya maembe sindano/kunyonya, dodo na mapera alafu unaskia mama anasema "msimsumbue baba yenu anaumwa kichwa, anaenda kulala , msimsumbue, leo nawapa rukhsa mkacheze kwa mama Mwakitobo ila msiumizane"
SWALI : Hii mbinu wazazi wa kisasa mnaitumia?
View attachment 3095178
Sasa wewe ukikosa hamu unataka wote tuache utamu?😂Hivi kuna watu wanasex Hadi Leo 2024?? God have mercy
Mambo ya kizamani Sana hayo acheni upuuzi dunia ilishatoka huko