"Baba Yenu anaumwa kichwa, nendeni mkacheze nje"

Yaani kama hauna mtu wa kukupaπŸ‘ lazima telegram iwe rafiki yako kwa usiku wa leo
Aaaagh aaaghπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œkaka wewe muhuni.
Umejuaje kama telegram kuna kina amina kishuziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!?
 
Aaaagh aaaghπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œkaka wewe muhuni.
Umejuaje kama telegram kuna kina amina kishuziπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!?
Mkuu nimegundua na wewe ni mtu wa hovyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚unamjua mpaka amina kishuzi😁😁😁😁
 
Watoto wa kisasa nao vichwa nazi...watarudi kupiga chabo.
 
Mkuu umeshindaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ unanifanya nacheka mbele za watu.
Mkuu umeshinda wewe....amina kishuzi nimemjua juzi tu Ila wewe inaonekana long time ago🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…