Siyo pesa ya shule tu....wanaweza kughairi kukununulia hata nguo za sikukuuDah! Hapo unawaharibia π€£, utashangaa kesho pesa ya kula shule hupati.
Nyege mnatoa wapi wenzangu na maisha haya??Sasa wewe ukikosa hamu unataka wote tuache utamu?π
Yaani kama hauna mtu wa kukupaπ lazima telegram iwe rafiki yako kwa usiku wa leoHii mada imejaa kushenyentana tu mafuta.
Mkuu umemiss kipwinyo nini ndio maana umeleta mada??πππππππ
Aaaagh aaaghπππππππππππkaka wewe muhuni.Yaani kama hauna mtu wa kukupaπ lazima telegram iwe rafiki yako kwa usiku wa leo
Mkuu nimegundua na wewe ni mtu wa hovyoππππunamjua mpaka amina kishuziππππAaaagh aaaghπππππππππππkaka wewe muhuni.
Umejuaje kama telegram kuna kina amina kishuziπππππ!?
Watoto wa kisasa nao vichwa nazi...watarudi kupiga chabo.Kipindi tukiwa watoto, baba unakuta amesafiri kaenda shamba wiki mbili au tatu, akirudi unaona mama kapika ugali-kuku na maziwa ya mgando ,mchicha pembeni na pilipili kichaa[mwendokasi]
Asubuhi tunatumwa sokoni kuandaa karanga mbichi na mbata, alafu mama anasema baba yenu anakuja leo.
Basi wote tunafurahi baba anarudi, khee, akija anaenda kuoga, anatusalimia , tunamrukia rukia anatupa zawadi ya maembe sindano/kunyonya, dodo na mapera alafu unaskia mama anasema "msimsumbue baba yenu anaumwa kichwa, anaenda kulala , msimsumbue, leo nawapa rukhsa mkacheze kwa mama Mwakitobo ila msiumizane"
SWALI : Hii mbinu wazazi wa kisasa mnaitumia?
View attachment 3095178
Na kichwa chenyewe ni kichwa cha chini πBaada ya kuwa mkubwa, ndo nikajua baba alikua anaumwa kichwa kweli......
ππππππNishaoa nimeacha.Mkuu nimegundua na wewe ni mtu wa hovyoππππunamjua mpaka amina kishuziππππ
Ulijua ukiwa wapiBaada ya kuwa mkubwa, ndo nikajua baba alikua anaumwa kichwa kweli......
Nikiwa kwangu baba wa watoto wangu nae akiwa anaumwa kichwa ....Ulijua ukiwa wapi
Ata kama umeacha kumjua amina kishuzi tu ni kiwango cha SGRπ€£π€£π€£ππππππNishaoa nimeacha.
Mkuu umeshindaππππππ unanifanya nacheka mbele za watu.Ata kama umeacha kumjua amina kishuzi tu ni kiwango cha SGRπ€£π€£π€£
Mkuu umeshinda wewe....amina kishuzi nimemjua juzi tu Ila wewe inaonekana long time agoπ€£π€£π€£Mkuu umeshindaππππππ unanifanya nacheka mbele za watu.
π€£π€£π€£ππ»You are lucky.
Mpe zawadi baada ya tendo maana amekupea space.
Tuna release stress za maisha.Nyege mnatoa wapi wenzangu na maisha haya??