kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Kwa haya maelezo yako ni wazi kabisa huna nia njema na hao watoto.Hata kisheria nikifahamu itapendeza zaidi , mimi na wadogo zangu sina makuu nao , kama sheria itaruhusu wauze kule mjini kwa sababu wamezaliwa kule na wakaishi kule mpaka kifo cha wazazi ,wala haina shida na sisi wa kwa upande wa mke wa kwanza tubakie na kiwanja cha kijijini na nyumba zakijijini siyo vibaya kikubwa tu wasijaribu kuja kuishi huku wala kuomba kiwanja maana watakuwa wameweka utengano.
Sent using Jamii Forums mobile app