let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Kuua bila kukusudia miaka 7 jela.
Ila kwa kuwa aliwawekea mtego maana yake alikusudia, kifungo cha maisha.
Tatizo la kuowa vibinti vidogo tofauti ya umri ilikuwa kubwaJeshi la Polisi Mkoani Manyara, linamshikilia Samwel Alfred (48), mkazi wa Kijiji cha Magara wilayani hapa kwa tuhuma za kumuua Michael Jackson (25) baada ya kumfumania akizini na mke wake, Habiba Saidi (22)...
ipo mada kaweka mtego alijua exactly nini kitatokea akiondoka. kakwisha huyonkibabu mwenzetuNaiona manslaughter ,siioni murder hapo.
nani atathibitisha kuwa aliwawekea mtego,jamaa atafungwa miaka miwili tuKuua bila kukusudia miaka 7 jela.
Ila kwa kuwa aliwawekea mtego maana yake alikusudia, kifungo cha maisha.
kesi hata bado haijaanza kusikilizwa,unasema aliwawekea mtego, haya maelezo ya muhandish hayatotumika mahakamani, na pia mshtakiwa hatosema kuwa aliwawekea mtego, sijui labda kwenye maelezo ya kuungama, hila hata hayo anaweza kuyakana pia mahakamaniipo mada kaweka mtego alijua exactly nini kitatokea akiondoka. kakwisha huyonkibabu mwenzetu
Ha ha hanani atathibitisha kuwa aliwawekea mtego,jamaa atafungwa miaka miwili tu
Hakuna kesi hapo, jamaa atafungwa kifungo cha nje
βAlfred alishapewa taarifa kuwa mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na Jackson hivyo siku hiyo aliweka mtego ili aweze kuwafumani na ndivyo alivyofanya na kusababisha mauaji hayo,β amesema Ramadhan.
Mkuu kesi ipo! Atafungwa kwa kosa la kuua bila kukusudia ambayo adhabu yake ni kufungwa maisha! Na kama angeua kwa kukusudia hapo Kitanzi kingemhusu.Hakuna kesi hapo, jamaa atafungwa kifungo cha nje
Atazikwa bongo hapa au atasafirishwa kwao ughaibun?? Maskin janet kampoteza kaka yake hivi hivi...Polisi bwana!? Sasa hapo Uchunguzi gani mwingine unaendelea wakati Kamanda ameishaweka kitu Wazi???[emoji853]
Mambo ya Nzi kufia kidondani hayo....
Akijidanganya kusema aliweka mtego basi ana murderipo mada kaweka mtego alijua exactly nini kitatokea akiondoka. kakwisha huyonkibabu mwenzetu
Hataree sana..uwiiJeshi la Polisi Mkoani Manyara, linamshikilia Samwel Alfred (48), mkazi wa Kijiji cha Magara wilayani hapa kwa tuhuma za kumuua Michael Jackson (25) baada ya kumfumania akizini na mke wake, Habiba Saidi (22)...
Weeee unaachaje kutaka, ajali kazini hiiHataree sana..uwii
Sitaki mapenzi