Nenda babati kakamate fursa.Habari za majukumu wadau? Natumai mpo shwari.
Kama title inavyoonekana, jamani naombeni muongozo kati ya Babati town na Dodoma ipi sehemu nzuri ya kufanya biashara ndogo ndogo na penye unafuu wa maisha.?
Kuhusu biashara ni yoyote ile naangalia fursa kwenye eneo.
Karibuni kwa maoni, ushauri.
Habari za majukumu wadau? Natumai mpo shwari.
Kama title inavyoonekana, jamani naombeni muongozo kati ya Babati town na Dodoma ipi sehemu nzuri ya kufanya biashara ndogo ndogo na penye unafuu wa maisha.?
Kuhusu biashara ni yoyote ile naangalia fursa kwenye eneo.
Karibuni kwa maoni, ushauri.
Gharama za maisha dom zinalingana na za Arusha ?Kibiashara Dodoma kwa sasa imechangamka na ina watu wengi sana huwezi kuilinganisha na Babati. Lakini kwa gharama za maisha Dodoma inaongoza, hivyo basi.. Fanya uchangamfu wa biashara VS gharama za maisha utajua uchague wapi.
Arusha nadhani ziko juu zaidi. (Sina hakika na gharama za chakula) maana Dom ziko juu sana.Gharama za maisha dom zinalingana na za Arusha ?