Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babati pako fresh sn kuliko Dodoma sababu sehemu zote 2 nimekaa nikafanya biasharaHabari za majukumu wadau? Natumai mpo shwari.
Kama title inavyoonekana, jamani naombeni muongozo kati ya Babati town na Dodoma ipi sehemu nzuri ya kufanya biashara ndogo ndogo na penye unafuu wa maisha.?
Kuhusu biashara ni yoyote ile naangalia fursa kwenye eneo.
Karibuni kwa maoni, ushauri.
Tetetetetetesubiri aje Babati
Babati kuanzia April mpaka Dec ni pazuri sn kwa biasharaBabati mpaka kuanzia mwezi wa 6 ndio kuna changamka wakishavuna ila vipindi vingine ngoma bado ngumu.
Babati Wana ukabila Sana. Kama sio Mmbulu au Mrangi ujipange haswa. Pale hata wachaga wana-struggle Sana. Bora DodomaYoyote tu naangalia fursa ya eneo ila sana sana biashara za chakula.
Mzunguko wa pesa Mdogo sana. Japo Watu wanapigana miti weekend gesti zinajaa hatari.Babati kuanzia April mpaka Dec ni pazuri sn kwa biashara
Sasa mkuu ungekuwa na guest ikajaa wewe ungechukia? na siyo kweli kama guest zote zinajaa labda za bei nafuu elf 5 au 10 kuanzia 20+ nafasi haziwezi kujaaIla Pa ovyo sana. Watu wanapigana miti weekend gesti zinajaa hatari
Ila wambulu wanapenda dushe mno. Warangi nao si habaSasa mkuu ungekuwa na guest ikajaa wewe ungechukia? na siyo kweli kama guest zote zinajaa labda za bei nafuu elf 5 au 10 kuanzia 20+ nafasi haziwezi kujaa
Nadhani ukiende kibiashara mkuu maswala ya ngono unatakiwa kuweka pembeni, kila watu na utamanduni wao.Ila wambulu wanapenda dushe mno. Warangi nao si haba
Ushauri mzuri japo kwa babati msimu biashara ikidorora anahamia kilimoSikilizeni Dodoma, Singida na Babati pako sawa tu kibiashara lakini kwa dodoma pesa ipo zaidi kidogo na vile vile dodoma kuna hitaji gharama za juu kuishi hapo kuliko babati na singida, vyumba vingi dodoma vya kuishi huwa ni elfu 50,000tzs chumba kimoja single na labda bahati sana upate kibaya cha 30,000tzs.
Singida na Babati vyumba ni 20000tzs na 25,000 au 30000 kwa mjini vya kuishi.
Gharama za vyakula kote kupo sawa tu. Japo kwa babati tu vyakula huwa bei nzuri kidogo.
Nyumba za biashara almaarufu fremu kwa dodoma ni kuanzia 300,000 na chini huwa ni 250000 kwa mjini kati pale.( huwa fremu kwa sasa ni adimu), Kwa upande wa singida na babati fremu nyingi ni 200,000 au 150,000 pale mjini kati na huwa zipo tu.
Kwa mimi nawekeza singida au babati sababu amna ushindani na bado hapahitaji akili kubwa kutoka kama kwa dodoma ilivo kila biashara ipo, singa na babati biashara nyingi bado.
Pia, Singida na Babati watu bado hawajanjanjaruka. Unaweza kuokota Malonya Kariakoo ukapiga hela huko minadaniUshauri mzuri japo kwa babati msimu biashara ikidorora anahamia kilimo
Mkuu Asante sana kwa muongozo. Naona babati nitakuja huko soon Babati utakua mwenyeji wangu mzeeSikilizeni Dodoma, Singida na Babati pako sawa tu kibiashara lakini kwa dodoma pesa ipo zaidi kidogo na vile vile dodoma kuna hitaji gharama za juu kuishi hapo kuliko babati na singida, vyumba vingi dodoma vya kuishi huwa ni elfu 50,000tzs chumba kimoja single na labda bahati sana upate kibaya cha 30,000tzs.
Singida na Babati vyumba ni 20000tzs na 25,000 au 30000 kwa mjini vya kuishi.
Gharama za vyakula kote kupo sawa tu. Japo kwa babati tu vyakula huwa bei nzuri kidogo.
Nyumba za biashara almaarufu fremu kwa dodoma ni kuanzia 300,000 na chini huwa ni 250000 kwa mjini kati pale.( huwa fremu kwa sasa ni adimu), Kwa upande wa singida na babati fremu nyingi ni 200,000 au 150,000 pale mjini kati na huwa zipo tu.
Kwa mimi nawekeza singida au babati sababu amna ushindani na bado hapahitaji akili kubwa kutoka kama kwa dodoma ilivo kila biashara ipo, singa na babati biashara nyingi bado.
Vp kuhusu fursa??