Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
- Thread starter
- #21
noma sana😀Ahahahahaa.
Mabaharia mnashindwa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
noma sana😀Ahahahahaa.
Mabaharia mnashindwa wapi?
Baharia unazungusha mafile tu ofisini unashindwa kumwambia boss kuwa umemzimia!!!!noma sana😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katibu Tawala Alikuwa Mjane Ama Ndiyo Alikosa Mtu Sahihi
Mmh wazae watafute Nini Tena..wasindikizane tu uzeeni kwa amaniSasa sijui watazaa watoto!!!?
tunawavua manyota[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mabaharia kila siku tupo kitaa ila tunashindwa hata kung'oa katibu kata daah
mabaharia wengi waoga sanaBaharia unazungusha mafile tu ofisini unashindwa kumwambia boss kuwa umemzimia!!!!
Sasa sijui watazaa watoto!!!?
If you know you knowKuna vitu vingine vinashangaza na kuleta maswali mengi..ila tuwatakie tu Ndoa yenye furaha
Kuna afisa mmoja kazini ananipenda, akinikuta nipo na mabaharia ananipa pesa, akinikuta niko na mwanamke hanipi na hanichangamkii.mabaharia wengi waoga sana
Huyo katibu tawala ana miaka mingapi kwa sasa?Sasa sijui watazaa watoto!!!?
Ajiandae kutoa ndogoKatibu Tawala Alikuwa Mjane Ama Ndiyo Alikosa Mtu Sahihi
Chukua hatua mkuu,mpe haki yakeKuna afisa mmoja kazini ananipenda, akinikuta nipo na mabaharia ananipa pesa, akinikuta niko na mwanamke hanipi na hanichangamkii.