Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
huo mchezi huwezi kuacha, huenda ndio alichompendea
Babu Seyya aache kutatua Marinda sasa maaama kampata mteule haswaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu Seyya aache kutatua Marinda sasa maaama kampata mteule haswaa.
Ameshakoma hedhi hahahahahahHuyo katibu tawala ana miaka mingapi kwa sasa?
Me mtoto???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukikua utajua[emoji23][emoji23]
Hivi kwani makanisa ya bongo yange ruhusu ndoa za ndani ya nyumba naona watu wanajaaga tu ukumbini kwenye shereheView attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja
[emoji23][emoji23][emoji23]Mmh wazae watafute Nini Tena..wasindikizane tu uzeeni kwa amani
Kweli?Ameshakoma hedhi hahahahahah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mabaharia kila siku tupo kitaa ila tunashindwa hata kung'oa katibu kata daah
Diana love youHongera babu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani, kwa nini unadhani sio bikra?Sasa huyo bi harusi hilo shela usoni kwani yeye bikira au kigoli?
Daaaaaaaa Salima Salima,Fanta wangu.View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja
Wameenda nae wapi?mabaharia walishapita nae