kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,398
Mmhh.... Hii ngumu kumeza😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani, kwa nini unadhani sio bikra?
Hahahaa..... CCM bhana!View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja
=====
Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mabaharia kila siku tupo kitaa ila tunashindwa hata kung'oa katibu kata daah
Labda alikosa kijana wa kuendesha Gari akiwa kazini...... Wale vijana aliowasema Mkulu kwenye Ule mkutano na Watendaji wa Kata....!!Katibu Tawala Alikuwa Mjane Ama Ndiyo Alikosa Mtu Sahihi
Baada ya dhiki faraja.. Wahenga walisemaView attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja
=====
Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Aisee !!Hapa ndipo kina utata
Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.
Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!
Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?View attachment 1201070
Mtu sahihi ni babu seya au sahihi alitakiwa awejeKatibu Tawala Alikuwa Mjane Ama Ndiyo Alikosa Mtu Sahihi
nakumbuka utetezi wake kweli ulikuwa huo nadhani atakua kaagiza gunia la vumbi toka kongoHuyu babu seya alijitetea mahakamani kuwa jogoo wake hapandi mtungi hivyo asingeweza kubaka watoto sasa huyo das atatumia ulimi au vidole?
Hapa ndipo kina utata
Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.
Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!
Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?View attachment 1201070
Kenny unauliza swali wewe? Hivi hujui kisa kilichomfunga maisha?Katibu Tawala Alikuwa Mjane Ama Ndiyo Alikosa Mtu Sahihi