Babu Seya afunga ndoa na Katibu Tawala(DAS) wa Muheza

Babu Seya afunga ndoa na Katibu Tawala(DAS) wa Muheza

Amemuoa District Administrative Secretary (DAS) wa wilaya ya Muheza.
 
View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja

=====

Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Hahahaa..... CCM bhana!
 
Katibu Tawala Alikuwa Mjane Ama Ndiyo Alikosa Mtu Sahihi
Labda alikosa kijana wa kuendesha Gari akiwa kazini...... Wale vijana aliowasema Mkulu kwenye Ule mkutano na Watendaji wa Kata....!!
 
View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja

=====

Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Baada ya dhiki faraja.. Wahenga walisema
 
Hapa ndipo kina utata

Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.

Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!

Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?View attachment 1201070
Aisee !!
 
Huyu babu seya alijitetea mahakamani kuwa jogoo wake hapandi mtungi hivyo asingeweza kubaka watoto sasa huyo das atatumia ulimi au vidole?
 
Hongera Mungu awape busara na uvumilivu
Ndoa sio lelemama
 
Kwani kuoa lazima wafanye ngono? We vipi
Hapa ndipo kina utata

Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.

Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!

Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?View attachment 1201070
 
Huyu mama mbona amekaa kibalotel Sana??

Kama baharia vileee
 
Back
Top Bottom