Nimejiuliza sana hili swaliMzee katika utetezi wake si alisema jogoo hapandi mtungi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejiuliza sana hili swaliMzee katika utetezi wake si alisema jogoo hapandi mtungi!
👏Hawa Makatibu Tawala tawala wa awamu hii sio mchezo? Niwatakie ndoa yenye furaha na maisha mema.
Sikuiona Mkuu, huenda kuna wenzangu ambao pia hawakuiona kama mm
huo mchezi huwezi kuacha, huenda ndio alichompendea
You man that does not mean an impotent person can not marry. Impotent can not bear a child or let me say he can not cause a woman to get pregnancy in a normal way.Nakumbuka kwenye kesi yake akikata rufaa na kusema kwamba yeye ni hanisi aka impotent, sasa naanza kupata mashaka....
Hii ndio inaitwa Kiingereza kilicho VUNJIKA!!!You man that does not mean an impotent person can not marry. Impotent can not bear a child or let me say he can not cause a woman to get pregnancy in a normal way.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii ndio inaitwa Kiingereza kilicho VUNJIKA!!!
Alitaka kujitoa kwenye kesi kisiasa...kusingizia n hanith.Mmmh ngoja nikae kimya kabisa nisitoe mawazo yangu, sio kila ukweli lazima usemwe hadharani
Mkuu naomba nichukue fundisho kingereza chako. Nimesoma shule za nyumbani zamani sana kabla ya uhuru.Hii ndio inaitwa Kiingereza kilicho VUNJIKA!!!
Au ulitaka niseme an impotent can meet t impregnate a woman I use coloquiall. Sometimes you have to figure it in your brainMkuu naomba nichukue fundisho kingereza chako. Nimesoma shule za nyumbani zamani sana kabla ya uhuru.
unajuaje kama alizipatia jela?Hapa ndipo kina utata
Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.
Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!
Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?View attachment 1201070