gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Huyu mzee ana nyota ya kutoka na wanawake wenye vyeo ama wake wa vibosileAiseee!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee ana nyota ya kutoka na wanawake wenye vyeo ama wake wa vibosileAiseee!!!
Mama wa watoto wake alifariki?View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja
=====
Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
yawezekana alipona, dawa siku hizi zipo nyingi sanaHapa ndipo kina utata
Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.
Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!
Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?View attachment 1201070
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee katika utetezi wake si alisema jogoo hapandi mtungi!
Baharia unazungusha mafile tu ofisini unashindwa kumwambia boss kuwa umemzimia!!!!
Tatizo la wamegi ni hilo hapo FUMILA MBULI YECHO MBONA NDODOGI "Wish them all the best..
Mungu Ibariki Tanzania[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
Katika kesi yake alijitetea kuwa mnara hausomi signal,ila wanawake kweli wana roho ya paka.View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja
=====
Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Dada ana roho ya paka kwa kweli,sijui amekosa washauri.Kuna vitu vingine vinashangaza na kuleta maswali mengi..ila tuwatakie tu Ndoa yenye furaha
Kumbe unamfahamuMmmh!!!
Ni mama mtu mzima na watoto
HaaLabda alikosa kijana wa kuendesha Gari akiwa kazini...... Wale vijana aliowasema Mkulu kwenye Ule mkutano na Watendaji wa Kata....!!
Kwani unafikiria mbegu atazipanda wapi !? Bondeni au jangwani ?Sasa sijui watazaa watoto!!!?
Yule ni mwingine ni mke wa mstaafu pensioner mzitoHuyo bibie ndo aliyekuwa akigombewa na kigogo miaka ile mpaka babu akafungwa?
Hapa ndipo kina utata
Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.
Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!
Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?View attachment 1201070
Huyu alibaka vitoto vidogo! Wakati wa kesi alijitetea kuwa alikuwa HANISI, leo kaoa! Ina maana alikuwa anadanganya??? au atahitetea kuwa ametibiwa na akapona! Bakaji mkubwaView attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja
=====
Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Kuna Mengi Yanaacha Midomo Wazi😆😁😂😃😄😅Kuna vitu vingine vinashangaza na kuleta maswali mengi..ila tuwatakie tu Ndoa yenye furaha
Oooh kumbe!Yule ni mwingine ni mke wa mstaafu pensioner mzito
Ni mama mtu mzima kabisaa,,,Ni boss wangu, Ni kiongozi mwenye sifa zote za kiongozi na Ana hofu ya mungu sanaaaKumbe unamfahamu