Babu Seya afunga ndoa na Katibu Tawala(DAS) wa Muheza

Babu Seya afunga ndoa na Katibu Tawala(DAS) wa Muheza

View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja

=====

Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Mama wa watoto wake alifariki?
 
Hapa ndipo kina utata

Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.

Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!

Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?View attachment 1201070
yawezekana alipona, dawa siku hizi zipo nyingi sana
 
Huyo bibie ndo aliyekuwa akigombewa na kigogo miaka ile mpaka babu akafungwa?
 
Wish them all the best..




















Mungu Ibariki Tanzania[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
Tatizo la wamegi ni hilo hapo FUMILA MBULI YECHO MBONA NDODOGI "
*(Kubali jambo lenyewe mbona dogo)* Chakwale
 
View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja

=====

Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Katika kesi yake alijitetea kuwa mnara hausomi signal,ila wanawake kweli wana roho ya paka.
 
NIMEWASHUSHA VYEO MABAHARIA WENZANGU WOTE MAANA WAMESHINDWA KUTUMIA FURSA HADI MZEE KATOKA UKONGA NA AKATUMIA FURSA..
 
Labda alikosa kijana wa kuendesha Gari akiwa kazini...... Wale vijana aliowasema Mkulu kwenye Ule mkutano na Watendaji wa Kata....!!
Haa
Mkuu Alisema Kuna Wanaume Wanatolewa Mahari
 
Inasemekana kakanyaga mafuta kwa Mwamposa kapona kabisaaaaaa!
Hapa ndipo kina utata

Wakati kesi ya ubakaji ikimkabili, Babu Seya alikuwa na hoja moja aliyoisimamia mpaka mwisho,kwamba hana nguvu za kiume hivyo asingeweza kubaka/kuingilia kimwili.

Leo hii tarehe 6/9/2019 Babu Seya kaoa tena binti mbichi!

Je alikuwa anasema uongo? Je hakumfanya Rais wetu ajiongoze vibaya mpaka kumpa msamaha?alikuwa anasema uongo mahakamani?View attachment 1201070
 
View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja

=====

Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Huyu alibaka vitoto vidogo! Wakati wa kesi alijitetea kuwa alikuwa HANISI, leo kaoa! Ina maana alikuwa anadanganya??? au atahitetea kuwa ametibiwa na akapona! Bakaji mkubwa
 
Back
Top Bottom