Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30



Hapa cha kuangalia ni facts na evidence za plaintfull na defendant.
Huku kuonewa kutathibitishwa na mahakamani na kwa ushahidi na kama ushahidi ulio pelekwa mahakamani unatia shaka basi kuna nafasi ya kuhojiwa kwa facts.

Nina amini katika hili kila mtu atapata haki yake, mahakamani hakuna ujanja ujanja sana ukweli utakuwa wazi tuuu.
 
Mkuu tatizo ni kwamba judicial freedom kwa Tz bado ni kitendawili hili limewahi kuongelewa hata na viongozi wakuu wa mahakama kipindi fulani. Ni kweli kwamba tuna theorem ya autonomy ya judicial but practically iko compromised!
 
Mkuu tatizo ni kwamba judicial freedom kwa Tz bado ni kitendawili hili limewahi kuongelewa hata na viongozi wakuu wa mahakama kipindi fulani. Ni kweli kwamba tuna theorem ya autonomy ya judicial but practically iko compromised!

Mulama hata kama mahakama zetu zina madhaifu lakini ni mara ngapi watu wamekuwa wakipata haki zao?

Ina maana katika hili huamini kama hawa watuhumiwa kama watapata haki zao?
Hivi ni kweli hadi sasa umekosekana ushahidi wa kuprove their innocent?

Mi naamini marando kajianda kuwatetea hata upande wa jamhuri umejipanga kutetea huku na kinacho takiwa hapa ni facts na evidence na sio hisia kama wengine wanavyo jaribu kuonesha?
This is serious case, haihiitaji maneno ya mitaani bali evidence.

Ukiangalia maswali ya marando utagundua kaanza vizuri.

Mulama kama una soft copy ya hukumu yao naomba utuwekee.
 
Last edited by a moderator:
Case nzima ilikuwa fabricated tangia mwanzo presiding yake ilikuwa under external instructions, tena usishangae kuwepo cooked evidences na fake witnesses ni mambo ya kawaida kama kesi ina influence ya anonymous. Wakati wa utawala wa iddi amin dada unakumbuka mahakama za uganda zilivyokuwa zinafanya kazi? au kwakuwa aliondolewa madarakani mambo yake yakawa public inamaanisha kuwa watawala wengine wa kiafrika hawafanyi hayo?!
 
Tatizo ni kuwa ukisoma ushahidi utaona walikuwa na hatia. Sasa kina babu Seya walipaswa kujitetea kuweka mashaka ktk kesi ile. Kusema tuu huwezi kusimamisha haikutoi hatiani
 

Mulama unaonekana kukata tamaa na hii case. Sikatai uwezekano wakuwepo cooked evidence kwenye case za namna hii,lakini kama umefatilia utetezi wa marando kidogo unaonesha kuna sehemu za kutilia mashaka.
Tatizo la hii case watu walisha tengeneza maneno yao vinywani pengine ukweli ukaonekana uongo na uongo ukaonekana ukweli.

Kipindi hii saga himetokea hawa walihojiwa kwenye tv na kwa haraka jinsi yule mtoto alivyo kuwa ana ongea mtu angejua amefundishwa lakini hadi sasa hakuna ushahidi wa kuthibitisha hilo.
 
Last edited by a moderator:
Owk..km wanatumia hzo dawa..bas walikunywa halafu pa kufanyia kazi hyo dawa wakakosa..ndo aka wananiliuu watt wa wa2...I got u
 
Owk..km wanatumia hzo dawa..bas walikunywa halafu pa kufanyia kazi hyo dawa wakakosa..ndo aka wananiliuu watt wa wa2...I got u

dawa gani unaziongelea? hivi nguza hakuwa na mke? hivi papii hakuwa na girlfriend?ujanishawishi katika hili.
cc Mulama.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ni kuwa ukisoma ushahidi utaona walikuwa na hatia. Sasa kina babu Seya walipaswa kujitetea kuweka mashaka ktk kesi ile. Kusema tuu huwezi kusimamisha haikutoi hatiani
Hivi kusema kwamba mtoto aliona sperm zikitembea ni valid evidence? Mbona kuna vitu viko wazi kabisa na vinaonekana vya kupikwa? Kama mtoto anakaririshwa kuigiza movie atashindwa kuongea maneno mengine?
 
mie mpaka kesho huwa siamini km bb na wanae wanaweza kufanya hivyo

Mkuu mimi ni kama wewe,sina ushahidi wowote kama walibaka au la,ila sijawahi kuamini kama baba na wanawe wanaweza kufanya huo ufirauni kwa pamoja hasa ukizingatia mila na desturi zetu sie waafrika
 
Mkuu mimi ni kama wewe,sina ushahidi wowote kama walibaka au la,ila sijawahi kuamini kama baba na wanawe wanaweza kufanya huo ufirauni kwa pamoja hasa ukizingatia mila na desturi zetu sie waafrika

Wakiganja cha mkono wa mtu mwanza umeisikia. Mila na desturi au ?
 
Mshombsy tafadhali kama un copy ya hukumu yao naomba utuwekee.

Mkuu hivi punde nimepewa soft copy ya hukumu ya Addy Lyamuya PRM na High Court appeal decision of Judge T.B. Mihayo kama nilivyo-attach hapo chini.

Wakati hakimu alipotoa hukumu yale mwana 2003, I took the case just as another case.

Lakini kadri muda unavyosonga mbele, kesi hii inazidi kuvutia umma.

Pia there is a lot of emotions from both parties of the argument hasa hapa JF.

Due to our adversarial system, ni vigumu sana kujua which side was saying the truth before the court.

Hata hivyo, hizi huku zitatusaidia kusoma ushahidi ulioletwa mahakamani na pande zote mbili na muhimu zaidi kufanya analysis ya huo ushahidi na maamuzi yaliyofikiwa na mahakama.

Itabidi nitafute muda nikae chini ili niweze kusoma in detail hukumu hizi mbili.

Kama kuna ambaye ana soft copy ya uamuzi wa Mahakama ya Rufaa atuwekee hapa please.
 
Wakiganja cha mkono wa mtu mwanza umeisikia. Mila na desturi au ?

ushirikina wa namna hiyo mbona ni kitu cha kawaida sana kwa muafrika?mbona tunaua albino au hukusikia hayo mauaji mkuu wewe unashangaa mtu kukutwa na kiganja cha mtu?
 
ushirikina wa namna hiyo mbona ni kitu cha kawaida sana kwa muafrika?mbona tunaua albino au hukusikia hayo mauaji mkuu wewe unashangaa mtu kukutwa na kiganja cha mtu?

Nilikuwa namuuliza jamaa hapo aliyesema kulingana na mila za mwafrika hawezi amini kama baba na mwanae walibaka.

Na wewe hapo umemwongezea kuawa kwa albino mbali na kuwa na mila za kiafrika
 

Mkuu EMT ASANTE SANA HAKIKA HII CASE INA MVUTO WA AINA YAKE, NGOJA NIANZE KUPITIA.
 
Last edited by a moderator:

kaka hio sio civil cases mpaka kuwe na plaintiff and defendant!! hio ni criminal case kuna appellant and respondent katika kesi kama hio ambayo ni very interest kwa nchi nzima, precedents ya mahakama lazima iwe ngumu sana..
 

kaka hio sio civil cases mpaka kuwe na plaintiff and defendant!! hio ni criminal case kuna appellant and respondent katika kesi kama hio ambayo ni very interest kwa nchi nzima, precedents ya mahakama lazima iwe ngumu sana...
 

kaka hio sio civil cases mpaka kuwe na plaintiff and defendant!! hio ni criminal case kuna appellant and respondent katika kesi kama hio ambayo ni very interest kwa nchi nzima, precedents ya mahakama lazima iwe ngumu sana....
 
kaka hio sio civil cases mpaka kuwe na plaintiff and defendant!! hio ni criminal case kuna appellant and respondent katika kesi kama hio ambayo ni very interest kwa nchi nzima, precedents ya mahakama lazima iwe ngumu sana....

Wewe umeiongelea kesi kirufaa (appellant = mkata rufaa) na huyo bwana ameiongolea kesi kwa mtizamo wa kuanza mwanzo.
 

wewe nawe, moja ya ushahidi wa wazazi wa watoto wale alidai watoto waliingiliwa mpaka ndani, na wakaambukizwa magonjwa ya zinaa na wengine walianza kuonza nyeti zao kwakua majeraha ya ukeni hayakutibiwa vyema......eti watoto hawakusema home.

mtoto wa miaka sita anaweza kuhimili mpasuko sehemu za siri ?
ingekuwa mmoja tungesema ni exceptional case, lakini watoto wote >? nashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…