Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

Sawa mkuu Ruttashobolwa inabidi tukubali hata kwa shingo upande 🙁

mkuu prs documents ziko hapo juu kazi ni kwako siyo kukubali shingo upande bali una nafasi ya kusoma na kujua ukweli na uongo.

facts na evidence zimewekwa wazi humo hakuna longo longo.
 
Last edited by a moderator:
 
hata waandshi wanapotosha kwamba ile ilikua appeal hebu soma hapa
 
Hivi mmesoma hizo documents au mnajadili kivivu? Someni kwanza afu muanze hizo speculations zenu
 
 
unauliza nini sasa? au unataka zalilisha mahaka yetu! tuiambie unaichonganisha na wananchi?
 
Sasa kisichokuingia akilini ni nini? Au mpaka angetendewa mwanao ndio ingekuingia akilini?!
 

Mbn ushahidi huu hamkuuwasilisha mahakamani!?
 
daaah hii wapate wenye ugonjwa wa tezi dume ili walinde ndoa zao..vingenevyo wataliwa wake zao mpaka kesho.
 
Wanaoamini kuwa babu seya alibaka na wanae ni wana ccm pekee,sitetei uhalifu,lakini haingii akilini mtu mzima na wanae watatu wakabaka asiwepo hata mmoja wa kugoma,nonsense kabisa.
 
Wanaoamini kuwa babu seya alibaka na wanae ni wana ccm pekee,sitetei uhalifu,lakini haingii akilini mtu mzima na wanae watatu wakabaka asiwepo hata mmoja wa kugoma,nonsense kabisa,Wana ccm ni kinyesi kibichi wote nyambafu zenu,hiyo case ni fabricated.
 
Wakongo noma wana dawa flani hv ya magome wanakula akisimama juu ya kifua nomaa lisaa hajashusha wazungu,ninayo nauza inaitwa kassongo7.

Cc: Madame B

daaah hii wapate wenye ugonjwa wa tezi dume ili walinde ndoa zao..vingenevyo wataliwa wake zao mpaka kesho.
 
Last edited by a moderator:
du! hata doctor anashindwa kuhusianisha anatomy ya vagina ya mtoto under 8yrs na penis ya adult katika coitus, kid raped na akatembea vizur na wazazi wasijue?
kwa hili mashaka yapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…