Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

Sawa mkuu Ruttashobolwa inabidi tukubali hata kwa shingo upande 🙁

mkuu prs documents ziko hapo juu kazi ni kwako siyo kukubali shingo upande bali una nafasi ya kusoma na kujua ukweli na uongo.

facts na evidence zimewekwa wazi humo hakuna longo longo.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nimepitia hizo documents.....Daah ushahidi umewekwa na victims live kabisa....Sijui kwa nini watu hawapendi kusoma?
Watoto 10 waseme Uongo (bila kuchanganyana) mbele ya Mawakili, Mahakama n.k Rehearsal ya aina gani ilihitajika mpaka waweze kukariri??
Watu wanafikiri kundi la watu 10 kubuni uongo na kuutetea mahakamani ni rahisi tu sembuse kwa Watoto??
Watoto wamewatambua watuhumiwa bila Shaka pamoja na kuelezea mazingira ya nyumba/chumba walichokuwa wanafanyiwa ubakaji (ikiwemo kubainisha vitu vilivyopo chumbani kwa usahihi)
Kwa ushahidi uliowekwa Sioni namna akina Babu Seya wangeshinda,hata wangekata rufaa Mara 1000........
KWANZA NIMESHANGAA HUKUMU NYEPESI WALIYOPEWA......
 
hata waandshi wanapotosha kwamba ile ilikua appeal hebu soma hapa
mg2921.jpg
 
Hivi mmesoma hizo documents au mnajadili kivivu? Someni kwanza afu muanze hizo speculations zenu
 
Mkuu nimepitia hizo documents.....Daah ushahidi umewekwa na victims live kabisa....Sijui kwa nini watu hawapendi kusoma?Watoto 10 waseme Uongo (bila kuchanganyana) mbele ya Mawakili, Mahakama n.k Rehearsal ya aina gani ilihitajika mpaka waweze kukariri??Watu wanafikiri kundi la watu 10 kubuni uongo na kuutetea mahakamani ni rahisi tu sembuse kwa Watoto??Watoto wamewatambua watuhumiwa bila Shaka pamoja na kuelezea mazingira ya nyumba/chumba walichokuwa wanafanyiwa ubakaji (ikiwemo kubainisha vitu vilivyopo chumbani kwa usahihi)Kwa ushahidi uliowekwa Sioni namna akina Babu Seya wangeshinda,hata wangekata rufaa Mara 1000........KWANZA NIMESHANGAA HUKUMU NYEPESI WALIYOPEWA......
Mkuu mimi kinacho nisikitisha sana ni kuona baadhi ya Watanzania wenzetu wanajaribu kutetea watu wanao abuse watoto wetu wadogo kwa ngono za kishenzi, mnawezaje kutetea MONSTERS kama hao - nchi za wenzetu wafungwa kama hao mara nyingi unyongwa na wafungwa wenzao gerezani wakipata tetesi kwamba walifungwa kutokana na ubakaji wa watoto wadogo; yaani hatujali kwamba victims walipata kilema cha kisaikolojia kwa maisha yao yote. Binafsi na vipa pongezi vyombo vyetu vya DOLA kwa kushughulikia suala hili kwa nguvu zao zote, sijui kwa nini baadhi yetu tunachukulia kimzaa mzaa suala ili ovu - au kwa kuwa victims hawakuwa watoto wetu tunaona sawa tu. Tujaribu kutafakali kiundani ubakaji (mpaka wanaingiliwa kinyume ya maumbile!) wa watoto wadogo una madhala gani kisaikolojia, tusipofushwe na ushabeki/umaharufu wa wanamziki wanatumia mwanya huo kufanya mambo mengine ya ziada kwa imani kwamba umaharufu wao ni kinga kamili i.e si rahisi watu kuamini kwamba wanaweza kufanya mambo ya uharibifu kwa watoto wadogo vile vile na wake za watu; baadhi yao tabia zao sio nzuri - wanaonekana ni wapole na wastaarabu lakini chunga sana!
 
unauliza nini sasa? au unataka zalilisha mahaka yetu! tuiambie unaichonganisha na wananchi?
 
Sasa kisichokuingia akilini ni nini? Au mpaka angetendewa mwanao ndio ingekuingia akilini?!
 
Ni chain ya wahusika wengi wakiwamo madaktari walopima "uongo" na hakimu/ jaji alohukumu "kwa kushinikizwa".

Kubwa ni ugomvi wake na "mukuru" walipogombea mwanamke, jamaa alipoona anazidiwa kete akaamua kuiteketeza familia nzima!!!!!!

Hakuna ubakaji wala nini hapo. Tafuta hao watoto uone kama kweli walibakwa!!!!!!!

Mbn ushahidi huu hamkuuwasilisha mahakamani!?
 
daaah hii wapate wenye ugonjwa wa tezi dume ili walinde ndoa zao..vingenevyo wataliwa wake zao mpaka kesho.
 
Wanaoamini kuwa babu seya alibaka na wanae ni wana ccm pekee,sitetei uhalifu,lakini haingii akilini mtu mzima na wanae watatu wakabaka asiwepo hata mmoja wa kugoma,nonsense kabisa.
 
Wanaoamini kuwa babu seya alibaka na wanae ni wana ccm pekee,sitetei uhalifu,lakini haingii akilini mtu mzima na wanae watatu wakabaka asiwepo hata mmoja wa kugoma,nonsense kabisa,Wana ccm ni kinyesi kibichi wote nyambafu zenu,hiyo case ni fabricated.
 
Wakongo noma wana dawa flani hv ya magome wanakula akisimama juu ya kifua nomaa lisaa hajashusha wazungu,ninayo nauza inaitwa kassongo7.

Cc: Madame B

daaah hii wapate wenye ugonjwa wa tezi dume ili walinde ndoa zao..vingenevyo wataliwa wake zao mpaka kesho.
 
Last edited by a moderator:
du! hata doctor anashindwa kuhusianisha anatomy ya vagina ya mtoto under 8yrs na penis ya adult katika coitus, kid raped na akatembea vizur na wazazi wasijue?
kwa hili mashaka yapo
 
Back
Top Bottom