Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

Mmmh.... Hii kesi imejaa utata mtupu, hakijulikani kipi cha kweli au ni kipi cha uongo, ila mtenda na mtendwa ndio wanaojua ukweli halisi
 
Dah,hv aliewafunga ndo anamalza mda wake wakuwa madarakani,ngoja chadema waingie watamtoa.
 
haya mambo tuongee tu bwana! ukwel mahakama wanao na ndo maana jaji kahukumu vile
 
mmesha nichanganya... kwani walibaka au walilawiti?

ie: watoto walikua me/ke?
 
Hivi demu anahitaji kukomeshwa au anahitaji kuenjoy na umfikishe kileleni?

Umfikishe kwani umemtoa wapi hapo ni kumkomesha tu mpaka siku akikuona ajihisi hana underwear
 
Hawa jamaa hawakubaka subiri jk aondoke madarakani tuitishe mafaili upya labda awaue kwa sumu huko jela vinginevyo ukweli utawekwa hadharani na kila mwenye sikio atasikia.

Wakifa hawa jamaa itakuwa noma sana kwa mkuu, maana itaonekana wamededishwa na mkuu, hii itamfafuna mkuu mpaka anadedi.
Mkuu na yeye ametake risk hili suala maana baada ya kustaafu kuna maisha.
 
Wakongo noma wana dawa flani hv ya magome wanakula akisimama juu ya kifua nomaa lisaa hajashusha wazungu,ninayo nauza inaitwa kassongo7.

Cc: Madame B


Dawa za namna hii wanazo Waha na Wamanyema wa Kigoma, yaani usoni unaweza kumuona mwanamme au mwanamke anatisha kwa sura ila mtaani anakuwa gumzo kwa kugombaniwa na watu.
 
Last edited by a moderator:
wwale watatoka mwaka kesho katikati,na watarudishwa kwao,ni mchezo ambao ukipangwa tangu zaman na nadhan kisha wengi mnakijua,.jiulize huu mwaka gan na imebaki miaka mingapi kufika 2015
kisha chekecha akili,wakili wao n mabele malando na keshafanikiwa kuwatoa wawil,ama hilo hamjui,mko dunia gan?,hii michezo twaijui c mabig fish hapa town
 
Haki inapoporwa na wenye nchi na kiama kwa wengine ila ipo siku ukweli utadhihiri na pengine akina Nguza wakawa huru
Naamini kuwa maovu yanayofanyika ndani ya nyumba kwa Imani kuwa tuliopo nje katu hatuwezi kuona wala kufahamu kinachoendelea ila kwa Imani siku ya mwisho uovu huo utanenwa na kufunuliwa juu ya paa.
 
tunasikia babu seya alimla mama yake nanihii halafu baba yake nanihii akapata habari,si unajua tena wakongo walivyo wabaya??haaahaahaaa,,,,hayo mambo ya kubaka hatujui
pitia mahakama ya kisutu usome mwenendo wa Kesi Yao ....walichowafanyia watoto ni cha kusikitisha. Habari za vijiweni zinaporudiwarudiwa zinakua ukweli hasa kwa wajinga an wavivu wa kufuatilia mambo Kama Watanzania.
 
Babu Seya is more than evil
kama mngesikiliza shahidi za wale watoto na ukasoma hukumu ya mama Lyamuya
utamchukia milele.
Hukumu waliyopata ni stahili yake.
wako wanaohusisha kufungwa kwake na mr handsome mkuu wetu huo ni uzushi mtupu.
Ukweli utabaki kuwa ukweli muziki na ushirikina ndio jadi ya wakongo..
Sioni haja kupoteza muda zaidi,
Hata hayo marejeo huenda wakaongeza hukumu zaidi ya waliyopata.
 
Dah hii kesi hii ifike kipindi Mungu aingilie ili tujue ukweli
 
hii kesi hii itamjambia babaake na nanihii...! Nguza alikamua demu wa mtu jamaa akashangaa yeye akiwa anakamua mwanamama anaimba "seya wa mivalo" jamaa akaona isiwe taabu.. Kwa hasira hata panya hakubaki...
kilichonitia huzuni na hasira ni ile wanafunzi kuekewa manano mdomoni na yule mwl mkuu wa shule ya msingi mapambano. Wakafoji hadi nyumba pale sinza eti ndiko walikokuwa wanabakia hivyo vitoto.
Kweli vitoto viende kubakwa kwenye nyumba iliyoko sinza uswazi watu wasishituke??

Ama kweli mushi kaamua kumalizana na mtoa utamu wake sasa huyu aliamua kudeal na mla utamu wake.

Daah!! Wanaume bhana mnamambo.
Hivi na wewe mwanamama ambaye umesababisha haya hivi kweli utathubutu kuingia nyumba ya ibada?? Kweli utathubutu kutoa sadaka ndani ya nyumba ya ibada?? Unless kama sio mtu wa ibada ila kama ndio lazima ungekua umeshaushinda ubaya
 
unajua binadamu unapokalibia kufa huwa unaacha maovu yote na wale unaowatesa unataka uache kuwatesa kabla ujafa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…