Wakongo noma wana dawa flani hv ya magome wanakula akisimama juu ya kifua nomaa lisaa hajashusha wazungu,ninayo nauza inaitwa kassongo7.
Cc: Madame B
Hii kesi hii itamjambia babaake na nanihii...! Nguza alikamua demu wa mtu jamaa akashangaa yeye akiwa anakamua mwanamama anaimba "seya wa mivalo" jamaa akaona isiwe taabu.. kwa hasira hata panya hakubaki...
Watoto hawakubakwa hata mmoja ni mchezo ulitengenezwa tu na wazazi wenye tamaa ya pesa wakakubali na kuuza utu.
Mimi nilikuwa naishi mtaa mmoja miti mirefu sinza karibu na shule ya mashujaa na katika mtaa wetu walibakwa watoto wanne mmoja ni jirani ambaye tunapakana ukuta na tulikuwa tukishirikiana kwa kila jambo siku ambayo tunaambiwa amebakwa mtoto hakuwa hata na dalili za maumivu and she was fine kipindi hicho alikuwa 6 year. Jiulize mtoto wa miaka
sita abakwe na watu wawili alf awe hana hata maumivu picha haiji kabisa
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Umfikishe kwani umemtoa wapi hapo ni kumkomesha tu mpaka siku akikuona ajihisi hana underwear
Kwa hiyotarajia usanii ikiwemo "Kuachiwa huru""
Jamaa yangu Riwa upo sahihi kabisa,Don't jump into conclusions...ile kesi imeshasikilizwa mara 2 wakaonekana wana hatia. Na ninvyofahamu mimi (kwa uelewa wangu mdogo wa sheria), kesi ya kubaka watoto/mtoto unahitajika ushahidi wa aina 2 tu kukutia hatiani...1 - Mtoto mwenyewe kusema kwamba ni mtu 'huyu' ndio kambaka (wale watoto walipoint kuwa babu Seya na wanae wamewabaka wakahadithia kwa ufasaha walivyofanyiwa), 2 - Daktari kuthibitisha kwa watoto wametendewa kitendo hicho (Daktari alithibitisha hilo, namfahamu Daktari aliyewafanyia uchunguzi wale watoto na ni kweli walifanyiwa hivyo, ripoti na picha ya athari walivyoharibiwa zipo kwenye mafaili yao)....Sioni jinsi gani Babu Seya na wanae watatoka hapo.
zaidi ya hapo, mmoja kati ya majaji wanaoreview hiyo kesi ni jaji Nathalie Kimaro...soma historia yake wakati yuko mahakama ya Kisutu kuhusu kesi za ubakaji na kunajisi watoto!
Jamaa yangu Riwa upo sahihi kabisa,
humu JF kuna wanaoshabikia ubakaji na ulawiti na kweli hayajawakuta ngoja tusubiri hiyo Review na sijui wakikutikana kweli waongezewe adhabu ya KUNYONGWA kina Babu Seya
Mimi kuna Bint namfahamu mpaka leo na hajabadili kauli labda nimtafute tena km alishinikizwa
Ila kuna watu wataumbuka
Mbeky unajua watu humu Duniani hawamuogopi MUNGU kabisa sijui hawa kina Nguzo hawana mabinti yaani kweli:-Kweli mdau umenena vema unajua inisikitisha ukiona GT anaamini katika story za vijiweni pasipo kutake initiatives za kutafuta ukweli ka msomi.
Ukisoma hukumu zote kuanzia ya Kisutu RM, High Court na Court of Appeal utaona ni jinsi gani watuhumiwa walikua wana wayawaya tu pasipo kutoa utetezi wao. Especially ukisoma hukumu na mwenendo wa shauli wa kisutu RM utaona watoto wote walitoa ushahidi unaofanana mpaka kuna kitoto kimoja kilimdai babu seya hela yake mahakamani kwa kweli babu seya na wanae walishindwa kabisa kujitetea baadala yake babu seya akaishia kusema eti ye anamatatizo ya nguvu za kiume
Hawakubaka...kosa lao ni kumla na kisha kumuimba tena kwenye heating song... kila dad akisikia songi anatamani awanyonge kabisa!!!
Jamaa yangu Riwa upo sahihi kabisa,
humu JF kuna wanaoshabikia ubakaji na ulawiti na kweli hayajawakuta ngoja tusubiri hiyo Review na sijui wakikutikana kweli waongezewe adhabu ya KUNYONGWA kina Babu Seya
Mimi kuna Bint namfahamu mpaka leo na hajabadili kauli labda nimtafute tena km alishinikizwa
Ila kuna watu wataumbuka
Kwa ushahidi ulionao ingependeza zaidi kama ungewasaidia washtakiwa kwa kutoa ushahidi Mahakamani!!!!Na wazazi waliopewa pesa na kukiri watoto wao walibakwa, kuna katoto karikuwa jirani yetu nae mama ake alisema alibakwa alikuwa na 6 yrs nasihi watoto sasa watakuwa na akili nafsi zitawasuta wa kuyumbisha maisha ya watu wasio na hatia
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Wakongo noma wana dawa flani hv ya magome wanakula akisimama juu ya kifua nomaa lisaa hajashusha wazungu,ninayo nauza inaitwa kassongo7.
Cc: Madame B
Don't jump into conclusions...ile kesi imeshasikilizwa mara 2 wakaonekana wana hatia. Na ninvyofahamu mimi (kwa uelewa wangu mdogo wa sheria), kesi ya kubaka watoto/mtoto unahitajika ushahidi wa aina 2 tu kukutia hatiani...1 - Mtoto mwenyewe kusema kwamba ni mtu 'huyu' ndio kambaka (wale watoto walipoint kuwa babu Seya na wanae wamewabaka wakahadithia kwa ufasaha walivyofanyiwa), 2 - Daktari kuthibitisha kwa watoto wametendewa kitendo hicho (Daktari alithibitisha hilo, namfahamu Daktari aliyewafanyia uchunguzi wale watoto na ni kweli walifanyiwa hivyo, ripoti na picha ya athari walivyoharibiwa zipo kwenye mafaili yao)....Sioni jinsi gani Babu Seya na wanae watatoka hapo.
zaidi ya hapo, mmoja kati ya majaji wanaoreview hiyo kesi ni jaji Nathalie Kimaro...soma historia yake wakati yuko mahakama ya Kisutu kuhusu kesi za ubakaji na kunajisi watoto!