Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
habari nilizozipata ivi punde zinasema babu seya kaachiliwa huru
naomba usibitisho jamani
Unajipiga mwenyewe halafu unaomba watu wakubembeleze unyamaze, does it bring sense?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari nilizozipata ivi punde zinasema babu seya kaachiliwa huru
naomba usibitisho jamani
yani mtu ni verified user alafu anapost uharo.
habari nilizozipata ivi punde zinasema babu seya kaachiliwa huru
naomba usibitisho jamani
Nina mashaka na Elimu yako.....Unajua maana ya mtu kuwa verified hapa JF???
Yeye yupo busy kwenye jukwaa lake huko.
mwekundu uko serious?ni kweli mkuu sema amekurupuka
habari nilizozipata ivi punde zinasema babu seya kaachiliwa huru
naomba usibitisho jamani
Ni kweli ameshinda rufaa na yuko huru
jk unaweza kumuibia hela akakusamehe lakini sio mwanamke,seya hatoki.
Wametoka aiseeee