Babu Seya: Ufafanuzi juu ya uvumi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii

Babu Seya: Ufafanuzi juu ya uvumi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii

kosa la jamaa lilikuwa kubwa!!

Bwana Saidi eee alikuja lalamikaaa.......kucheza na nyumba za watuuu.....sawasawa kucheza na motoooo --- hataree kubwaaaa -- acha mara mojaaa -- hatareee kubwaaa......
 
Eti jaman ni kwel babu seya na mwanae wameachiwa huru na sikia ukawa ndio wamesababisha mpaka wakawa huru
 
Wametoka aiseeee
 

Attachments

  • 1410180678265.jpg
    1410180678265.jpg
    22.2 KB · Views: 884
nimesikia pia please yeyote mwenye habar za uhakika atujuze
 
habari nilizozipata ivi punde zinasema babu seya kaachiliwa huru
naomba usibitisho jamani

Unaleta habari wewe halafu sisi tufanye kazi ya kuthibitisha?

Kwa kosa lao hakuna kitu kama hicho!
 
Hivi huna aibu?unatufanya watt huwa mtu anapptoka gerezan kwa msamaha huwa ni wakati gan?
 
Mbona naona picha wakiwa na nyuso za furaha nadhani watoka.
 
duuuh hatimaye ila wamesota sana mweeh!
 
Back
Top Bottom