Babu Seya: Ufafanuzi juu ya uvumi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii

Babu Seya: Ufafanuzi juu ya uvumi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii

Huko USA kuna ndugu wawili wamekaa jela miaka 30 juzi juzi wameachilia baada ya kugundulika hawakuwa na hatia.

Hivi wanaweza kudai fidia kwa muda wote waliopoteza gerezani. ...?
 
Ukitaka uthibitisho nenda jukwaa la celebrity utakutana na jamaa mmoja mmbea balaa hajawahi kutokea anaitwa Warumi.
Ila mi namkubali sana huyu warumi!anajua jinsi ya kuwaondoa watu stress!kuna kipindi aliadimika tulikonda!
 
Nakumbuka Mara ya mwisho rufaa yao ilitupiliwa mbali kabisa! Ina maana Marando alikata rufaa tena? Ni lini ilianza kusikilizwa? Nitakuwa wa mwisho kuamini habari hii!

Kwa kosa lao ni kifo pekee ndio kita watenganisha na gereza! Hawana uwezo wa kushinda hii case kabisa!
 
Huenda anataka kujisafisha katika jamii,lakini kasafiri mpaka anajishtukia hivi sasa,huenda hajui hali ilivyo tight huku kitaa,amesafiri mpka Singapole,ni nini tumepata kutokana na safari zake za kiuj.........

Nani anataka kujisafisha? Mbona mnatumia hisia tuu?
 
Wengi wanaleta malalamiko bila ushahidi,kama kaonewa basi usemeni huo ukweli watu tujue sio kulalamika tu kaonewa
 
Hatimae watoka
 

Attachments

  • 1410183278686.jpg
    1410183278686.jpg
    36.5 KB · Views: 584
Oh thanx Lord wamesota sana . All the best .
 
du, ebu isome na wewe mwenyewe uone kama imejitosheleza hii habari yako ndugu.
 
Mkuu rufani yao ilikuwa ina simamiwa na nani? Ilikuwa mahakama gani? Rufani yao ilianza kusikilizwa tena kunzia lini?
Bahati mbaya umeweka picha ya rufani iliyopita na kumbukumbu zinaonesha ilitupiliwa mbali!
 
Mungu mkubwa na hashindwi na lake na huamua kwa muda anaotaka yeye.
Muhimu kwetu Binaadamu ni Subira na Ustahamilivu
Mungu Asifiwe
 
Back
Top Bottom