Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Huko USA kuna ndugu wawili wamekaa jela miaka 30 juzi juzi wameachilia baada ya kugundulika hawakuwa na hatia.
Hivi wanaweza kudai fidia kwa muda wote waliopoteza gerezani. ...?