Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
kitaondoka mkuu ni suala la muda tuWatanzania ni wanafiki Sanaa, Mungu ondoa hiki kizazi ili Tanzania iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitaondoka mkuu ni suala la muda tuWatanzania ni wanafiki Sanaa, Mungu ondoa hiki kizazi ili Tanzania iendelee
sasa mfano kama katekwa na magaidi,nyie raia wa kawaida mnaweza kumuokoa pasipo kushirikiana na vyombo vya dola?Yaani kesi ya Nyani umpatie Ngedere?
Magaidi mwenyewe wawe Bashite na ********sasa mfano kama katekwa na magaidi,nyie raia wa kawaida mnaweza kumuokoa pasipo kushirikiana na vyombo vya dola?
Dah, ila wasiwasi wangu wasije wakamuua tu manake Mashabiki bado tunamuhitajiKama haina ryder na murder wazembe saana. Ninja.
Kumbe kuna tongwe mbili mkuu?Ametekwa TANGA(TONGWE) au TONGWE(OYSTERBAY)? CCTV ni Muhimu Sana kwenye sehemu ambapo watu wengi uingia kama studio.
Ndio Nimeuliza maana wamesema Wasanii wakutane Tongwe Records Oysterbay.Kumbe kuna tongwe mbili mkuu?
Siku mama yako akifanywa vibaya ndo utajua maana ya usanii. Binadamu mwenzio anatekwa wewe kwa vile unalipa 2000 kila post hata ya kijinga kama hii, unaleta upoyoyo? Kafie mbali na siku ukifa utazikwa majini!Yani mtu atekwe halafu waache simu yake hewani? huu ni usanii tuu kama ule wa ben saanane
Kuna watu wana funza vichwani. Huyu ni poyoyo kabisaSiku mama yako akifanywa vibaya ndo utajua maana ya usanii. Binadamu mwenzio anatekwa wewe kwa vile unalipa 2000 kila post hata ya kijinga kama hii, unaleta upoyoyo? Kafie mbali na siku ukifa utazikwa majini!
Tongwe Records OysterbayAmetekwa TANGA(TONGWE) au TONGWE(OYSTERBAY)? CCTV ni Muhimu Sana kwenye sehemu ambapo watu wengi uingia kama studio.
Mkuu ulishawahi sikia kitu "Ambush"?Yaani hata namba za gari walishindwa kukariri? Hata kupiga simu polisi walishindwa?uzembe gani huo?halafu Roma anaitwa anahojiwa anachukuliwa na Moni nae hashituki anaenda tu? Kuna jamaa yetu aliwahi kutekwa ili atoe maelezo alipo lafiki yake ambaye alikuwa anatafutwa na watekaji.basi yule jamaa wakamwambia apige simu ilu lafiki yake aje.kweli alipiga simu na lafiki yake akaja,ila wakati jamaa anakaribia(walikuwa kwenye gari nyeusi) yule aliyetekwa akasema kwa sauti ""OYA MWANANGU KIMBIA ,HUU MSALA" halafu na yeye akaruka pale mlangoni akakimbia,basi wakapona kiivyo,unaona mtu alivyotumia akili???sasa hawa wakina Roma wametekwa kizembe kabisa