Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaondoka weweWatanzania ni wanafiki Sanaa, Mungu ondoa hiki kizazi ili Tanzania iendelee
Wewe ni nani katika dunia hii kumuorder Mungu atekeleze unyama unaousema...labda una mungu mwingine labda ...lakin sio Mungu tunaemuabudu alieumba dunia hiiWatanzania ni wanafiki Sanaa, Mungu ondoa hiki kizazi ili Tanzania iendelee
Si Wai trace hiyo simu wanayosema inaita kupitia mtandao wake wa simu.
Mbona huwa makampuni kupitia polisi wanatusaidia mara kwa mara kuwapata vibaka kupitia simu zao why not huyu msanii?
Ifike wkat kuwa na akili watu wnatafta ndgu yao hawajui alipo alaf unakuja na jokes za kipumbavu,kama huna cha kupost kaa kimyaYani mtu atekwe halafu waache simu yake hewani? huu ni usanii tuu kama ule wa ben saanane
Mtaondoka nyiekitaondoka mkuu ni suala la muda tu
Nenda basi kafanye press conference ukawatukane vizuri kuliko kutukana huku ukiwa umejificha na kuficha ID yako halisiWasanii wote ni wajinga tuuu..nani aliwambia aliyetekwa anatafutwa insta?
Lin, mimi hapa duniani alie juu ni Mungu pekee na ndie nayemuogopa ...hao wengine ni kama mbegu tu tena mchele tu mbele ya Mungu.Kama aliye juu anahusika ni ngumu sana kampuni ya simu kusaidia
Ndio maana wana ujasiri Wa kuiacha simu hewani
Studio haina cctv
Nilikuckia gambosh mkuuMkuu ulishawahi sikia kitu "Ambush"?
lakini Studio kubwa kama ile kukosa CCTV Camera ni udhaifu wa hali ya chini kabisa...
Anyway Wasimuue tu huko aliko...
Ni Ambush na sio GamboshNilikuckia gambosh mkuu
It's true mungu ndo wakuogopwaLin, mimi hapa duniani alie juu ni Mungu pekee na ndie nayemuogopa ...hao wengine ni kama mbegu tu tena mchele tu mbele ya Mungu.